Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Ni maswali ambayo sio rahisi kwangu kupata majibu,
Kwamba aliye kuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini alikua ana
Tafuta hela ili awape hongo wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania
Ili wapitishe bajeti bila matatizo.
Katika barua ile imenukulia akitumia maelezo "unaombwa kuchangia jumla ya shilingi 50,000,000/="..
Hiki sio kiasi kidogo cha hela,je huyo anae changia anatoa sadaka au atarudisiwa?
Na kama atarudishiwa ni hizo hela zitanyofolewa toka wapi?
Je huu ndo utaratibu kwa wizara zote kuhonga wabunge?
Wabunge gani wanao hongwa?
wale walio wengi na wanaweza kuipitisha kama wakiamua au wabunge wote kwa ujumla wao?
Hii ni mara ya kwanza kufanya mchezo kama huu?
Na kama hii sio mara ya kwanza,kuna mbunge anastahili kuaminiwa huko bungeni?
Haijalishi ni wa chama gani,naimani kama hii kitu ipo miaka yote kwa namna
Moja au nyingine lazima wabunge hata wa upinzani watakua wanajua,je kwanini wamekua kimya
Siku zote hizo?
Bajeti imeenda kurekebishwa,lakini bajeti general imekwisha pita na waziri wa nishati na madini
alisema tatizo ni upungufu wa hela,
je hizi hela zitatoka wapi wakati bajeti iliyo takiwa kurekebiswa mwanzo(general),imekwisha pita?
Katika hali kama hii kuna mbunge anapaswa kuaminiwa pale anaposimama jukwaani
na kukemea maovu ya wenzake?
Kwamba aliye kuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini alikua ana
Tafuta hela ili awape hongo wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania
Ili wapitishe bajeti bila matatizo.
Katika barua ile imenukulia akitumia maelezo "unaombwa kuchangia jumla ya shilingi 50,000,000/="..
Hiki sio kiasi kidogo cha hela,je huyo anae changia anatoa sadaka au atarudisiwa?
Na kama atarudishiwa ni hizo hela zitanyofolewa toka wapi?
Je huu ndo utaratibu kwa wizara zote kuhonga wabunge?
Wabunge gani wanao hongwa?
wale walio wengi na wanaweza kuipitisha kama wakiamua au wabunge wote kwa ujumla wao?
Hii ni mara ya kwanza kufanya mchezo kama huu?
Na kama hii sio mara ya kwanza,kuna mbunge anastahili kuaminiwa huko bungeni?
Haijalishi ni wa chama gani,naimani kama hii kitu ipo miaka yote kwa namna
Moja au nyingine lazima wabunge hata wa upinzani watakua wanajua,je kwanini wamekua kimya
Siku zote hizo?
Bajeti imeenda kurekebishwa,lakini bajeti general imekwisha pita na waziri wa nishati na madini
alisema tatizo ni upungufu wa hela,
je hizi hela zitatoka wapi wakati bajeti iliyo takiwa kurekebiswa mwanzo(general),imekwisha pita?
Katika hali kama hii kuna mbunge anapaswa kuaminiwa pale anaposimama jukwaani
na kukemea maovu ya wenzake?