Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 246
- 457
✍️ Hakuna namna ya kuyakataa haya mabadiliko. Kinachoitwa ukosefu wa maadili leo hii hata ukikemea utapoteza nguvu tu. Mambo yenyewe yalianzia kwa wazungu, inavyoonekana wao wameshayafanya wakakinai wamebaki kuendekeza ujingaujinga mdogo Kama ushoga, ngono kati ya wazazi na watoto nk.
✍️Mimi huwa siwachukii wasanii wanaoimba nyimbo za matusi kwa sababu huieleza jamii uhalisia uliopo au unaozuka. Ukiwachukia wasanii kama kina Lulu diva wewe haupendi kufundishwa. Japokuwa sio mifano mizuri mbele ya jamii ila huwa wanatuma ujumbe tu kwamba maadili ya sasa yako hivi.
Huu ndio uhalisia wenyewe Kama huutaki au unaukemea basi wewe unaishi kwenye fantasy/ imaginary world;
✍️Jamii ya ngono nje/kabla ya ndoa haiepukiki. Hivyo yakupasa Kama mzazi kuwaambia watoto wako watumie kinga bila kupindisha ukweli. Makanisa sio kinga kwa sababu nimeshuhudia kwa macho yangu mtoto wa mzee wa kanisa akiliwa na mchunga ng'ombe. Ngono haiepukiki kwa sababu baadhi ya vyakula vya kisasa vinatia sana hisia za mapenzi, pia mavazi na maumbo hasa kwa wanawake hayawatamuacha kijana yeyote salama. Ngono zembe haiepukiki kwa sababu mtu aliye chuo kwa umri huo anahitaji huduma hiyo. Pia mabadiliko ya shughuli za kisiasa, kiuchumi na kijamii yamekutanisha hizi jinsia mbili bila mipaka. NGONO haiepukiki.
✍️Jamii ya mashindano haiepukiki. Ukizubaa utaachwa nyuma. Yakupasa upambanie kombe, Kama ni masomo uwe wa kwanza, Kama ni ajira uwe na vigezo bora, Kama ni urembo uwazidi wenzako, uwe na nguvu, tafuta madaraka kwa nguvu zako uwashinde wenzako, Kama ni hela uzipate nyingi, kama ni uhandsome uwe mtanashati. Ili kudhihirisha maneno yangu tuangalie jaribu kuzubaa uwe maskini utatamani wanawake wazuri na mlo bora lakini hutavipata.
✍️ Wanawake kupenda pesa sio vibaya maana ndio mfumo mpya ulivyo. Wanaume zitafuteni hela muwachakate, dunia inakuhitaji uwachakate wengi kwa kadri ya uwezo wako. Wanawake tafuteni wanaume bora wenye magari, majumba na wazuri lakini ukubali kupakuliwa ndo dunia ilivyo kwa sasa.
✍️Hakuna mapenzi ya ukweli. Utaumia bure, dunia ina mfumo wa wapenzi wengi kubali mabadiliko haya. Usikasirik mkeo akiliwa na wahuni, usiwashangae mademu micheruko, lazima tuukubali tu ukweli.
✍️Jamii ya pombe haiepukiki. Hayo ndiyo maisha mapya wapendwa.
🗣️Niishie hapo ila niwaambie kuwa huo ndio utandawazi wenyewe. Njia pekee ya kuuepuka ni kujitenga na wazungu kitu ambacho ni kigumu.
✍️Mimi huwa siwachukii wasanii wanaoimba nyimbo za matusi kwa sababu huieleza jamii uhalisia uliopo au unaozuka. Ukiwachukia wasanii kama kina Lulu diva wewe haupendi kufundishwa. Japokuwa sio mifano mizuri mbele ya jamii ila huwa wanatuma ujumbe tu kwamba maadili ya sasa yako hivi.
Huu ndio uhalisia wenyewe Kama huutaki au unaukemea basi wewe unaishi kwenye fantasy/ imaginary world;
✍️Jamii ya ngono nje/kabla ya ndoa haiepukiki. Hivyo yakupasa Kama mzazi kuwaambia watoto wako watumie kinga bila kupindisha ukweli. Makanisa sio kinga kwa sababu nimeshuhudia kwa macho yangu mtoto wa mzee wa kanisa akiliwa na mchunga ng'ombe. Ngono haiepukiki kwa sababu baadhi ya vyakula vya kisasa vinatia sana hisia za mapenzi, pia mavazi na maumbo hasa kwa wanawake hayawatamuacha kijana yeyote salama. Ngono zembe haiepukiki kwa sababu mtu aliye chuo kwa umri huo anahitaji huduma hiyo. Pia mabadiliko ya shughuli za kisiasa, kiuchumi na kijamii yamekutanisha hizi jinsia mbili bila mipaka. NGONO haiepukiki.
✍️Jamii ya mashindano haiepukiki. Ukizubaa utaachwa nyuma. Yakupasa upambanie kombe, Kama ni masomo uwe wa kwanza, Kama ni ajira uwe na vigezo bora, Kama ni urembo uwazidi wenzako, uwe na nguvu, tafuta madaraka kwa nguvu zako uwashinde wenzako, Kama ni hela uzipate nyingi, kama ni uhandsome uwe mtanashati. Ili kudhihirisha maneno yangu tuangalie jaribu kuzubaa uwe maskini utatamani wanawake wazuri na mlo bora lakini hutavipata.
✍️ Wanawake kupenda pesa sio vibaya maana ndio mfumo mpya ulivyo. Wanaume zitafuteni hela muwachakate, dunia inakuhitaji uwachakate wengi kwa kadri ya uwezo wako. Wanawake tafuteni wanaume bora wenye magari, majumba na wazuri lakini ukubali kupakuliwa ndo dunia ilivyo kwa sasa.
✍️Hakuna mapenzi ya ukweli. Utaumia bure, dunia ina mfumo wa wapenzi wengi kubali mabadiliko haya. Usikasirik mkeo akiliwa na wahuni, usiwashangae mademu micheruko, lazima tuukubali tu ukweli.
✍️Jamii ya pombe haiepukiki. Hayo ndiyo maisha mapya wapendwa.
🗣️Niishie hapo ila niwaambie kuwa huo ndio utandawazi wenyewe. Njia pekee ya kuuepuka ni kujitenga na wazungu kitu ambacho ni kigumu.