Kuna Makanisa na Makanisa Kuanzia Makanisa,Vikanisa,Kikanisa na Vijikanisa!, Je Makanisa Yote Yanaweza Kufungiwa?au Vikanisa, Vijikanisa na Kikanisa?

Kuna Makanisa na Makanisa Kuanzia Makanisa,Vikanisa,Kikanisa na Vijikanisa!, Je Makanisa Yote Yanaweza Kufungiwa?au Vikanisa, Vijikanisa na Kikanisa?

Wanabodi,

Moja ya faida za mitandao ni kuelimishana, hili ni bandiko la kutoa elimu kuwa japo kisheria makanisa yote yana hadhi sawa mbele ya sheria,lakini japo ni mchungu,lakini ndio ukweli wenyewe, kuwa makanisa hayafanani, Kuna Makanisa na Makanisa!,Makanisa makubwa, ,makanisa madogo, kuna Vikanisa vidogo na vijikanisa vidogo kabisa!, bila kujalisha ukumbwa wa jengo la kanisa, au uwingi wa waumini wa kanisa husika, mbele ya sheria, makanisa yote yako sawa!.

Kitendo cha kufungiwa kwa kanisa la Ufufuo wa uzima, ndiko kumeniibua kuulizia hili jambo, kuwa kuna Makanisa fulani hata yafanye nini hayawezi kufungiwa, na kuna makanisa mengine, ile kiongozi wake amekohoa tuu, limepigwa kabali?。

Japo ni kweli nchi yetu haina dini, secular state, na serikali yetu haina dini,secular government,lakini watu wake wana dini zao na viongozi wana dini zao.

Sasa ili kuepuka mifarakano ya kidini,serikali ikasisitiza viongozi wa dini wasichanganye dini na siasa, lakini je kuna dini ni muhimu zaidi ya nyingine, zinaheshimiwa na zinaogopwa hivyo viongozi wake wanaweza kusema lolote, popote, hata kuchanganya dini na siasa na wasifanywe lolote au kitu chochote, lakini wengine wakiongea wanafungiwa kwa kisingizio cha kuchanganya dini na siasa?

Paskali
Kufungiwa Huwa inatokea Paschal Mayalla lakini si kwa namna ilivyotokea kwa kanisa la ufufuo na uzima. Ni uonevu na ukandamizaji wa hali ya Juu. Hebu fikiria ni wanasiasa Hawa Hawa hutumia makanisa kuomba kura. Na pia kuwatumia maaskofu kuwaombea katika hafla za kisiasa na mfano juzi CCM walifanya mkutano Dodoma na walialika baadhi ya watumishi wa dini kwenye mkutano wa siasa. Iweje Leo askofu akosoe Kisha aambiwe anachanganya dini na siasa ili hali mnawaalika kwenye siasa? Makanisa yote ni sawa. Na hufungiwa pale tu yakikiuka sheria za nchi lakini si uhuni uliofanywa kwa Gwajima
 
Mzuka wa kesi ya Lissu ulipamba moto sana kiasi cha kuwakosesha CCM usingizi...
Sasa mmetengenezewa picha la kihindi watu wamesahau hata kesi ya LIssu juzi ilikuwa mahakamani......
Wabongo vichwa ndezi sana......
 
Paskali wewe ni muumini wa Psychoanalysis za Freud sigmund

Kuna nadharia inasema mwanamke utotoni kama alilelewa na baba ambaye alikuwa mkali sana, basi huyo mwanamke akiwa mkubwa atavutiwa na mwanaume mkali na ataolewa naye

Sababu ni moja . Ili afidishie unyonge aliokuwa akiuonyesha kwa baba yake, huyo mwanamke atakuwa ni mtu wa kelele, ubabe na amri za hovyo kwa mumewe atataka kuonyesha yeye sio mnyonge bila kujali madhara yatakayotokea


Huu mfano nmekupa

Hiyo ya home boy wako kufungiwa zizi lake la kondoo ni trela

Kuna makubwa yanakuja

Hao wanaosifia sio wajinga ni watoto wa mjini wanajua kusoma upepo ili mkono uende kinywani
kufungiwa kanisa la ufufuo na uzima ni trela? Sasa unataka kusema serikali ina ubavu wa kulifunga kanisa kama katoliki? Sema itaishia kufungia makanisa madogomadogo yasiyo uchumi wala vitega uchumi na taasisi zake. Huwezi kufungia makanisa giant nchi itatikisika vibaya
 
Wanabodi,

Moja ya faida za mitandao ni kuelimishana, hili ni bandiko la kutoa elimu kuwa japo kisheria makanisa yote yana hadhi sawa mbele ya sheria,lakini japo ni mchungu,lakini ndio ukweli wenyewe, kuwa makanisa hayafanani, Kuna Makanisa na Makanisa!,Makanisa makubwa, ,makanisa madogo, kuna Vikanisa vidogo na vijikanisa vidogo kabisa!, bila kujalisha ukumbwa wa jengo la kanisa, au uwingi wa waumini wa kanisa husika, mbele ya sheria, makanisa yote yako sawa!.

Kitendo cha kufungiwa kwa kanisa la Ufufuo wa uzima, ndiko kumeniibua kuulizia hili jambo, kuwa kuna Makanisa fulani hata yafanye nini hayawezi kufungiwa, na kuna makanisa mengine, ile kiongozi wake amekohoa tuu, limepigwa kabali?。

Japo ni kweli nchi yetu haina dini, secular state, na serikali yetu haina dini,secular government,lakini watu wake wana dini zao na viongozi wana dini zao.

Sasa ili kuepuka mifarakano ya kidini,serikali ikasisitiza viongozi wa dini wasichanganye dini na siasa, lakini je kuna dini ni muhimu zaidi ya nyingine, zinaheshimiwa na zinaogopwa hivyo viongozi wake wanaweza kusema lolote, popote, hata kuchanganya dini na siasa na wasifanywe lolote au kitu chochote, lakini wengine wakiongea wanafungiwa kwa kisingizio cha kuchanganya dini na siasa?

Kuna dhehebu huwa linatoa waraka nikauliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Waraka huo ulisomwa altareni, misa zote na jumuiya ndogo ndogo zote na haikuwa waraka wa neno la Mungu nikashauri Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

Paskali

Pascal Mayalla, naamini kwamba umri wako ulionao haupishani pakubwa Sana na umri alionao Mhe. Rais. Kwa umri wako huo ulionao, nilitegemea kwamba ungeeleza hoja zenye mantiki ili kumshauri vyema Mhe. Rais kwa nia njema ya kurejesha amani, Haki na utangamano wa kitaifa kutokana na hali hii mbaya iliyopo ya jahazi kwenda mrama.

Siyo Siri hata kidogo, Ndani ya nchi yetu kwa sasa hivi tayari kuna fukuto kubwa sana la kuwepo kwa 'Vita baridi' ya kidini. Ukimya huu unaoendelea hapa nchini kwa sasa hauashirii mwisho mwema, kuna 'moto wa pumba' unaendelea kuwaka chini kwa chini. Siku yoyote ile huo 'moto wa pumba' unaoendelea kufukuta chini kwa chini unaweza kulipuka.
Hata makundi pinzani ya Watu kama vile Antibalaka na Seleka kule nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yalianza kidogo kidogo kama hivi hivi. Siyo ajabu hata kidogo kwamba hali kama hiyo inaweza kuibuka hata hapa nchini kwetu, hii ni kutokana na kutamalaki na kushamiri kwa Udhalimu, uhalifu, Uovu, uonevu, dhuluma, kukosekana kwa Haki na ukandamizaji wa Uhuru wa kuabudu.
 
Kufungiwa Huwa inatokea Paschal Mayalla lakini si kwa namna ilivyotokea kwa kanisa la ufufuo na uzima. Ni uonevu na ukandamizaji wa hali ya Juu. Hebu fikiria ni wanasiasa Hawa Hawa hutumia makanisa kuomba kura. Na pia kuwatumia maaskofu kuwaombea katika hafla za kisiasa na mfano juzi CCM walifanya mkutano Dodoma na walialika baadhi ya watumishi wa dini kwenye mkutano wa siasa. Iweje Leo askofu akosoe Kisha aambiwe anachanganya dini na siasa ili hali mnawaalika kwenye siasa? Makanisa yote ni sawa. Na hufungiwa pale tu yakikiuka sheria za nchi lakini si uhuni uliofanywa kwa Gwajima
huwa nawashangaa wahubiri wanataka tuwaombee viongozi wa serikali, tuwaombee waweje? Wale ni wa kukemewa muda wote wanapoenenda kinyume na haki za raia
 
Mi mi sijaelewa, Wamefunga jengo au wameifunga leseni ya kuendesha kanisa?

Kama wamefunga Jengo, anaweza kurudi Tanganyika Packers au viwanja vya mwembe yanga akaendeleza ufufuko na uzima?
 
Wanabodi,

Moja ya faida za mitandao ni kuelimishana, hili ni bandiko la kutoa elimu kuwa japo kisheria makanisa yote yana hadhi sawa mbele ya sheria,lakini japo ni mchungu,lakini ndio ukweli wenyewe, kuwa makanisa hayafanani, Kuna Makanisa na Makanisa!,Makanisa makubwa, ,makanisa madogo, kuna Vikanisa vidogo na vijikanisa vidogo kabisa!, bila kujalisha ukumbwa wa jengo la kanisa, au uwingi wa waumini wa kanisa husika, mbele ya sheria, makanisa yote yako sawa!.

Kitendo cha kufungiwa kwa kanisa la Ufufuo wa uzima, ndiko kumeniibua kuulizia hili jambo, kuwa kuna Makanisa fulani hata yafanye nini hayawezi kufungiwa, na kuna makanisa mengine, ile kiongozi wake amekohoa tuu, limepigwa kabali?。

Japo ni kweli nchi yetu haina dini, secular state, na serikali yetu haina dini,secular government,lakini watu wake wana dini zao na viongozi wana dini zao.

Sasa ili kuepuka mifarakano ya kidini,serikali ikasisitiza viongozi wa dini wasichanganye dini na siasa, lakini je kuna dini ni muhimu zaidi ya nyingine, zinaheshimiwa na zinaogopwa hivyo viongozi wake wanaweza kusema lolote, popote, hata kuchanganya dini na siasa na wasifanywe lolote au kitu chochote, lakini wengine wakiongea wanafungiwa kwa kisingizio cha kuchanganya dini na siasa?

Hii hoja ya kuchanganya dini na siasa niliifanyia kipindi
View: https://youtu.be/_iDRrF9NqwA?si=w7VV-UBf_TYW9o34

Kuna dhehebu huwa linatoa waraka nikauliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Waraka huo ulisomwa altareni, misa zote na jumuiya ndogo ndogo zote na haikuwa waraka wa neno la Mungu nikashauri Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

2016 baada ya Rais Magufuli kusema katiba sio kipaumbele changu, Baba Askofu Severini Niwemugizi,wa Jimbo Katoliki la Rulenge,alimshukia JPM mimbarini, JPM akajibu mapigo kwa Baba Askofu kushughulikiwa kikamilifu, ikiwa ni pamoja na kunyanganywa passport na kuhojiwa uraia lakini kanisa halikufungwa!。

Mwaka 2010 Askofu Zakaria Kakobe aliwagomea Tanesco kupitisha umeme wa high voltage mbele ya kanisa lake Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians! halikufungiwa!。

Mwaka 2017, Askofu Kakobe alimuamuru Rais JPM lazima utubu kwa Mungu dhambi zake na asipotubu atakufa!,Kakobe ni alishughulikiwa yeye,akahojiwa uraia lakini kanisa lake halikufungwa!Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Mwaka 2012 Askofu Nabii na Mtume Mwingira aliipaka
Serikali, kanisa la Efata lilivamiwa na polisi, kutaka kumkamata Mwingira, waumini wakamkingia
, polisi walitembeza
Kichapo Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know! lakini kanisa halikufungiwa!

Ukiondoa kanisa la Kakobe,kanisa jingine lililofungiwa ni kanisa la Mfalme Zumaridi kule Mwanza na kanisa la Kiboko ya Wachawi ambapo nami nilitoa ushauri Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Hitimisho
Kwa vile mbele ya macho ya kisheria,makanisa yote yana hadhi sawa,natoa vito kwa serikali yetu tukufu,makanisa yote yawe treated equal,sio makanisa mengine yahubiri siasa hayaguswi mengine yanaguswa!,kosa la mtu mmoja,haliwezi kusababisha kanisa lote kufungwa!,ila pia ukiondoa ile kadhia ya Msikiti wa Mwembechai, sijawahi kusikia msikiti wowote kufungwa kwa kuchanganya dini na siasa!, wenzetu misikitini ni ibada tuu na mafundisho ya neno la Mungu tuu,

Nashauri makanisa waweke jukwaa nje ya kanisa baada ya ibada, kiongozi apande jukwaani apige siasa kadri atakavyo, kutakuwa hakuna tatizo。

Hili mnalionaje?。

Paskali


What's ya point mkubwa? So lililoanzishwa na mzungu ndio kanisa na lililoanzia usukumani ndio kijikanisa? I am afraid to say you're disgrace for now, I reserve my opinion wakati nasoma wasukuma na wanyamwezi wengine wanasemaje!
 
Wanabodi,

Moja ya faida za mitandao ni kuelimishana, hili ni bandiko la kutoa elimu kuwa japo kisheria makanisa yote yana hadhi sawa mbele ya sheria,lakini japo ni mchungu,lakini ndio ukweli wenyewe, kuwa makanisa hayafanani, Kuna Makanisa na Makanisa!,Makanisa makubwa, ,makanisa madogo, kuna Vikanisa vidogo na vijikanisa vidogo kabisa!, bila kujalisha ukumbwa wa jengo la kanisa, au uwingi wa waumini wa kanisa husika, mbele ya sheria, makanisa yote yako sawa!.

Kitendo cha kufungiwa kwa kanisa la Ufufuo wa uzima, ndiko kumeniibua kuulizia hili jambo, kuwa kuna Makanisa fulani hata yafanye nini hayawezi kufungiwa, na kuna makanisa mengine, ile kiongozi wake amekohoa tuu, limepigwa kabali?。

Japo ni kweli nchi yetu haina dini, secular state, na serikali yetu haina dini,secular government,lakini watu wake wana dini zao na viongozi wana dini zao.

Sasa ili kuepuka mifarakano ya kidini,serikali ikasisitiza viongozi wa dini wasichanganye dini na siasa, lakini je kuna dini ni muhimu zaidi ya nyingine, zinaheshimiwa na zinaogopwa hivyo viongozi wake wanaweza kusema lolote, popote, hata kuchanganya dini na siasa na wasifanywe lolote au kitu chochote, lakini wengine wakiongea wanafungiwa kwa kisingizio cha kuchanganya dini na siasa?

Hii hoja ya kuchanganya dini na siasa niliifanyia kipindi
View: https://youtu.be/_iDRrF9NqwA?si=w7VV-UBf_TYW9o34

Kuna dhehebu huwa linatoa waraka nikauliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Waraka huo ulisomwa altareni, misa zote na jumuiya ndogo ndogo zote na haikuwa waraka wa neno la Mungu nikashauri Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

2016 baada ya Rais Magufuli kusema katiba sio kipaumbele changu, Baba Askofu Severini Niwemugizi,wa Jimbo Katoliki la Rulenge,alimshukia JPM mimbarini, JPM akajibu mapigo kwa Baba Askofu kushughulikiwa kikamilifu, ikiwa ni pamoja na kunyanganywa passport na kuhojiwa uraia lakini kanisa halikufungwa!。

Mwaka 2010 Askofu Zakaria Kakobe aliwagomea Tanesco kupitisha umeme wa high voltage mbele ya kanisa lake Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians! halikufungiwa!。

Mwaka 2017, Askofu Kakobe alimuamuru Rais JPM lazima utubu kwa Mungu dhambi zake na asipotubu atakufa!,Kakobe ni alishughulikiwa yeye,akahojiwa uraia lakini kanisa lake halikufungwa!Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Mwaka 2012 Askofu Nabii na Mtume Mwingira aliipaka
Serikali, kanisa la Efata lilivamiwa na polisi, kutaka kumkamata Mwingira, waumini wakamkingia
, polisi walitembeza
Kichapo Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know! lakini kanisa halikufungiwa!

Ukiondoa kanisa la Kakobe,kanisa jingine lililofungiwa ni kanisa la Mfalme Zumaridi kule Mwanza na kanisa la Kiboko ya Wachawi ambapo nami nilitoa ushauri Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Hitimisho
Kwa vile mbele ya macho ya kisheria,makanisa yote yana hadhi sawa,natoa vito kwa serikali yetu tukufu,makanisa yote yawe treated equal,sio makanisa mengine yahubiri siasa hayaguswi mengine yanaguswa!,kosa la mtu mmoja,haliwezi kusababisha kanisa lote kufungwa!,ila pia ukiondoa ile kadhia ya Msikiti wa Mwembechai, sijawahi kusikia msikiti wowote kufungwa kwa kuchanganya dini na siasa!, wenzetu misikitini ni ibada tuu na mafundisho ya neno la Mungu tuu,

Nashauri makanisa waweke jukwaa nje ya kanisa baada ya ibada, kiongozi apande jukwaani apige siasa kadri atakavyo, kutakuwa hakuna tatizo。

Hili mnalionaje?。

Paskali

Kaka yangu Pascal Mayalla usichoelewa hapo ni nini ? . Huyu amefunguiwa Kanisa ili akose Platform ( mahali pa kusemea) ya kuendelea kusema mambo mengine zaidi ambayo ni mazito kuliko haya aliyosema. Hofu ya Watawala sio hayo aliyoyasema bali mengine aliyonayo.
 
Wanabodi,

Moja ya faida za mitandao ni kuelimishana, hili ni bandiko la kutoa elimu kuwa japo kisheria makanisa yote yana hadhi sawa mbele ya sheria,lakini japo ni mchungu,lakini ndio ukweli wenyewe, kuwa makanisa hayafanani, Kuna Makanisa na Makanisa!,Makanisa makubwa, ,makanisa madogo, kuna Vikanisa vidogo na vijikanisa vidogo kabisa!, bila kujalisha ukumbwa wa jengo la kanisa, au uwingi wa waumini wa kanisa husika, mbele ya sheria, makanisa yote yako sawa!.

Kitendo cha kufungiwa kwa kanisa la Ufufuo wa uzima, ndiko kumeniibua kuulizia hili jambo, kuwa kuna Makanisa fulani hata yafanye nini hayawezi kufungiwa, na kuna makanisa mengine, ile kiongozi wake amekohoa tuu, limepigwa kabali?。

Japo ni kweli nchi yetu haina dini, secular state, na serikali yetu haina dini,secular government,lakini watu wake wana dini zao na viongozi wana dini zao.

Sasa ili kuepuka mifarakano ya kidini,serikali ikasisitiza viongozi wa dini wasichanganye dini na siasa, lakini je kuna dini ni muhimu zaidi ya nyingine, zinaheshimiwa na zinaogopwa hivyo viongozi wake wanaweza kusema lolote, popote, hata kuchanganya dini na siasa na wasifanywe lolote au kitu chochote, lakini wengine wakiongea wanafungiwa kwa kisingizio cha kuchanganya dini na siasa?

Hii hoja ya kuchanganya dini na siasa niliifanyia kipindi
View: https://youtu.be/_iDRrF9NqwA?si=w7VV-UBf_TYW9o34

Kuna dhehebu huwa linatoa waraka nikauliza Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Waraka huo ulisomwa altareni, misa zote na jumuiya ndogo ndogo zote na haikuwa waraka wa neno la Mungu nikashauri Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

2016 baada ya Rais Magufuli kusema katiba sio kipaumbele changu, Baba Askofu Severini Niwemugizi,wa Jimbo Katoliki la Rulenge,alimshukia JPM mimbarini, JPM akajibu mapigo kwa Baba Askofu kushughulikiwa kikamilifu, ikiwa ni pamoja na kunyanganywa passport na kuhojiwa uraia lakini kanisa halikufungwa!。

Mwaka 2010 Askofu Zakaria Kakobe aliwagomea Tanesco kupitisha umeme wa high voltage mbele ya kanisa lake Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians! halikufungiwa!。

Mwaka 2017, Askofu Kakobe alimuamuru Rais JPM lazima utubu kwa Mungu dhambi zake na asipotubu atakufa!,Kakobe ni alishughulikiwa yeye,akahojiwa uraia lakini kanisa lake halikufungwa!Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Mwaka 2012 Askofu Nabii na Mtume Mwingira aliipaka
Serikali, kanisa la Efata lilivamiwa na polisi, kutaka kumkamata Mwingira, waumini wakamkingia
, polisi walitembeza
Kichapo Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know! lakini kanisa halikufungiwa!

Ukiondoa kanisa la Kakobe,kanisa jingine lililofungiwa ni kanisa la Mfalme Zumaridi kule Mwanza na kanisa la Kiboko ya Wachawi ambapo nami nilitoa ushauri Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Hitimisho
Kwa vile mbele ya macho ya kisheria,makanisa yote yana hadhi sawa,natoa vito kwa serikali yetu tukufu,makanisa yote yawe treated equal,sio makanisa mengine yahubiri siasa hayaguswi mengine yanaguswa!,kosa la mtu mmoja,haliwezi kusababisha kanisa lote kufungwa!,ila pia ukiondoa ile kadhia ya Msikiti wa Mwembechai, sijawahi kusikia msikiti wowote kufungwa kwa kuchanganya dini na siasa!, wenzetu misikitini ni ibada tuu na mafundisho ya neno la Mungu tuu,

Nashauri makanisa waweke jukwaa nje ya kanisa baada ya ibada, kiongozi apande jukwaani apige siasa kadri atakavyo, kutakuwa hakuna tatizo。

Hili mnalionaje?。

Paskali

"kosa la mtu mmoja,haliwezi kusababisha kanisa lote kufungwa!",Samahani, hebu weka sawa hili, naona kama unashangaa kosa la mtu mmoja kanisa kutofungwa. Hapa kikwazo ni "haliwezi kusababisha kanisa lote kufungwa", je, makanisa yafungwe kwa kosa la mtu mmoja?
Tukiacha hayo juu, mimi bado siwaelewi nyie waelimishaji, kila chama chenu CCM kikiguswa mnakuja na mabandiko! Wakati huohuo CCM ina wabunge wenye makanisa na machawa nguli akina Buludoza aliyesababisha vifo Moshi serikali ikazuga na mambo yakaendelea, yote kwa sababu ni chwawa nguli. Huyu hajaanza leo kuwa mwanasiasa, amekuwa mwanasiasa powa mbunge aliyepigiwa vigelegele na vifiyo na nyie wenyewe, leo mmekuwa kama akina Mamakimbo na viroja vya mitaani, kisa nini? Eti mmegombana ndani ya chumba chenu na mkipatana kesho mnatuacha solemba.
Nimalizie kwa kusema aliyesababisha vifo Moshi alikuwemo kwenye mkutano wenu mkuu wiki iliyopita japo mnajifanya hamkumuona na kumkemea kwa kuchanganya dini na siasa, acheni huo undumilakuwili mnatutia kizunguzungu.

NINAKUSHAURI ONDOA BANDIKO LAKO UBAKI UKIHESHIMIWA
 
Kiuhalisia, si kweli kwamba serikali haina dini ikiwa tu dini maana yake ni kumwamini na kumwomba Mungu - muumba mbingu na nchi. Nathibitisha kwa machache yafuatayo:

1. Serikali inaapisha viongozi wake kidini, ikiwemo rais. Serikali zisizo na dini haziwezi kuwataka watendaji wake wawe na misahafu, Biblia na Kurhani. Wanashika tu katiba na kuapa kwa kiongozi wao.
2.. Wimbo wa taifa ni wa kidini
3. Bunge wakati wote hutangulia kidini kwa sala ya kidini
4. Mikutano mingi ya kiserikali huanza kwa salamu za kidini
5. Viongozi wa kiserikali hushiriki mikutano mikubwa ya kidini hususan ya BAKWATA au ya kusimikwa viongozi wa kikristo.

Hayo yote yanathibitisha serikali inafuata dini pasipo kuegemea madhehebu fulani. Aidha, kuna tofauti ya kanisa (ambalo ni kusanyiko la waumini), na madhehebu (taasisi za kidini), na jengo la ibada. Kiufupi, kanisa si jengo la ibada au madhehebu yanayosajiliwa na serikali, bali ni kusanyiko la watu wamwaminio Kristo aliyeasisi kanisa.
 
U
"kosa la mtu mmoja,haliwezi kusababisha kanisa lote kufungwa!",Samahani, hebu weka sawa hili, naona kama unashangaa kosa la mtu mmoja kanisa kutofungwa. Hapa kikwazo ni "haliwezi kusababisha kanisa lote kufungwa", je, makanisa yafungwe kwa kosa la mtu mmoja?
Tukiacha hayo juu, mimi bado siwaelewi nyie waelimishaji, kila chama chenu CCM kikiguswa mnakuja na mabandiko! Wakati huohuo CCM ina wabunge wenye makanisa na machawa nguli akina Buludoza aliyesababisha vifo Moshi serikali ikazuga na mambo yakaendelea, yote kwa sababu ni chwawa nguli. Huyu hajaanza leo kuwa mwanasiasa, amekuwa mwanasiasa powa mbunge aliyepigiwa vigelegele na vifiyo na nyie wenyewe, leo mmekuwa kama akina Mamakimbo na viroja vya mitaani, kisa nini? Eti mmegombana ndani ya chumba chenu na mkipatana kesho mnatuacha solemba.
Nimalizie kwa kusema aliyesababisha vifo Moshi alikuwemo kwenye mkutano wenu mkuu wiki iliyopita japo mnajifanya hamkumuona na kumkemea kwa kuchanganya dini na siasa, acheni huo undumilakuwili mnatutia kizunguzungu.

NINAKUSHAURI ONDOA BANDIKO LAKO UBAKI UKIHESHIMIWA
Umechambua vema kabisa
 
Naunga mkono hoja! Isipokuwa Watumishi wa Mungu waendelee kukemea maovu,wawe kwenye Mimbari au nje ya Mimbari.Tena wamwambie hata mfalme Dhambi zake, akisikia atatubu,wasiposikia na wasitubu damu zao hazitatakwa vichwani mwao!
(Walawi4:22-23)
Hata kwa gharama ya kukatwa vichwa,(Mathayo14:3-11)
Wanafanya hivyo kukwepa Hukumu ya Mungu juu yao,(Ezekeili3:18-21)
Hata hivyo Mungu anawaonya Watumishi wa Mungu kutotumikia mabwana wawili! SIASA NA KAZI YA MUNGU!
Gwaji alichanganya yote Ubunge na Uaskofu!
 
Back
Top Bottom