Labda utumie vile vyoo vya kukaaAhaa mkuu mzigo utauchunguliaje jaman wakat unaingia toilet
Mimi kila napokunya lazima nichungulie mavi yangu nijue hali ya afya yangu.Ahaa mkuu mzigo utauchunguliaje jaman wakat unaingia toilet
Kazi unayo.Mimi kila napokunya lazima nichungulie mavi yangu nijue hali ya afya yangu.
Nikiona mekundu (brown) sana najua yamechanganyika na damu (kuna shida)
Nikiona magumu sana kuna shida pia (constipation)
Malaini sana kuna shida kidogo.