Mtandaoni
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 111
- 31
Katika kila mwili wa binadamu una viungo mbalimbali , na kila kiungo kina faida zake, lakini inapotokea ukapungukiwa lazima utayaona madhara au hasara ya kutokuwa nacho, mfano % 98 wanaume wamejaliwa KUWA na NDEVU
%100 ilobaki hawana, mm nayahesabu kama mapungufu, je kuna namna yeyote ya kufanya ili wanaume wote TUWE %100 kwa hili? Kwa sababu elimu ya Sasa ni ya kitehama Zaid, naomba kusaidiwa maana nami nimo kwenye %2 na huwa natamani sana KUWA na NDEVU, japo KUWA kuna wengine watotoa comment mbaya ila kumbuka kila kitu kina faida na hasara yake.
Swali kuu je kuna uwezekano wowote WA mtu asiye na akawa nazo?
%100 ilobaki hawana, mm nayahesabu kama mapungufu, je kuna namna yeyote ya kufanya ili wanaume wote TUWE %100 kwa hili? Kwa sababu elimu ya Sasa ni ya kitehama Zaid, naomba kusaidiwa maana nami nimo kwenye %2 na huwa natamani sana KUWA na NDEVU, japo KUWA kuna wengine watotoa comment mbaya ila kumbuka kila kitu kina faida na hasara yake.
Swali kuu je kuna uwezekano wowote WA mtu asiye na akawa nazo?