huo ni utamaduni tu wa ushirikina na kuabudu sanamu, but hakuna madhara yoyote yenye ushahidiKama mnavyojua /ona makaburi mtu akizikwa yanakuwa yameelekezewa upande mmoja kama ni kusini kusini mashariki mashari je!kwa mfano makaburi sasa yameelekea mashariki ki marehemu wangu nikageuzia kaburi lake kusini je!kuna madhara gani?

Ahaa..huo ni utamaduni tu wa ushirikina na kuabudu sanamu, but hakuna madhara yoyote yenye ushahidi![]()
Doroth Gwajima atafungwa mtu atasema huo jHakuna tatizo hata kama ukimning'iniza marehemu kwenye mti.
Mtu aliyekufa utamdhalilisha vipi?Ahaa..
Maana naonaga kwenye kuzika wako makini sana kuweka u
Doroth Gwajima atafungwa mtu atasema huo j
ni uzalilishaji
Hapa JF kuna Dini na madhehebu mengi ni kila moja lina utaratibu wakeKama mnavyojua /ona makaburi mtu akizikwa yanakuwa yameelekezewa upande mmoja kama ni kusini kusini mashariki mashari je!kwa mfano makaburi sasa yameelekea mashariki ki marehemu wangu nikageuzia kaburi lake kusini je!kuna madhara gani?
lofa kweli gentlemanHakuna tatizo hata kama ukimning'iniza marehemu kwenye mti.
