It seems tatizo linaanzia kwako.Kitu pekee wanachotumia kufikiria ni maji kidogo waliyobaki nayo kichwani hakuna Ubongo kabisa?
Jana kuna kiumbe nimemtumia 50K ya matumizi ya mtoto,
Asubuhi hii ananipigia simu anasema hawana hela ya kula,
Nimekata simu sijamjibu chochote.
Mkuu kwani kuna shida gani si umwambie tu aje kiwandani ale kiepe?Kitu pekee wanachotumia kufikiria ni maji kidogo waliyobaki nayo kichwani hakuna Ubongo kabisa?
Jana kuna kiumbe nimemtumia 50K ya matumizi ya mtoto,
Asubuhi hii ananipigia simu anasema hawana hela ya kula,
Nimekata simu sijamjibu chochote.
akili duaraAiseeee mtoto mwenyewe kitu pekee atakachotumia ni pipi ya mia
😂😂😂😂😂Kitu pekee wanachotumia kufikiria ni maji kidogo waliyobaki nayo kichwani hakuna Ubongo kabisa?
Jana kuna kiumbe nimemtumia 50K ya matumizi ya mtoto,
Asubuhi hii ananipigia simu anasema hawana hela ya kula,
Nimekata simu sijamjibu chochote.