dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Jamaa kaniuliza:Nasikia kuna mademu wanajiuza?Nikamjibu,Sijui kwa sababu mimi siko kuvamia mademu facebook akasema kweli wewe muaminifu warembo wote hujaopoa hata mmoja?Nikamjibu usibabaike na picha kutana nao uone utaomba simu izime ghafla,maana nikituko!!ila yote kwa yote ni msimamo ndio kila kitu,Mx