Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 313
- 533
Nakumbuka kipindi hko nasoma history wakati wa vita ya kwanza na pili ya dunia inapiganwa baina ya waingreza,ufaransa na Ujerumani, Marekani ilikuwa nchi maskini kiuchumi dhidi ya nchi hizo, ilichokua ikikifanya ni kuzifadhili nchi hizo silaha ili ziendelee kuzitwanga huku yenyewe (Marekani) ikiendelea kuimarisha uchumi wake.
Baada ya vita ya pili kuisha kama mjuavyo athari za vita ilisababisha a lot of distractions Kwa nchi hzo yaan Britain iliyokua strong kiuchumi,France na Germany.
Baada ya vita kuisha la ahula kuja kushtuka marekan ilishajenga miundombinu ya kushato hapo kwake na ikatake over nafas ya Britain,France na Germany kiuchumi mpaka kesho
Kwanini nmeandika andiko hili?
Nmeandika andiko hili Kwa sababu naona kilichotokea Kwa nchi hzo tatu miaka ile ndo kinachotokea hapa kwetu tofauti ni kwamba wale walitumia mitutu,siku tukija kushtuka usingizini tutaikuta zenji imepiga hatua ndefu hapo tutaanza kutafutana
Amini amini nawaambieni zenji inakuja Kwa kasi kuliko speed ya LTE
Baada ya vita ya pili kuisha kama mjuavyo athari za vita ilisababisha a lot of distractions Kwa nchi hzo yaan Britain iliyokua strong kiuchumi,France na Germany.
Baada ya vita kuisha la ahula kuja kushtuka marekan ilishajenga miundombinu ya kushato hapo kwake na ikatake over nafas ya Britain,France na Germany kiuchumi mpaka kesho
Kwanini nmeandika andiko hili?
Nmeandika andiko hili Kwa sababu naona kilichotokea Kwa nchi hzo tatu miaka ile ndo kinachotokea hapa kwetu tofauti ni kwamba wale walitumia mitutu,siku tukija kushtuka usingizini tutaikuta zenji imepiga hatua ndefu hapo tutaanza kutafutana
Amini amini nawaambieni zenji inakuja Kwa kasi kuliko speed ya LTE