There is just one thing naomba kujuzwa kwanza jamani eh!
Hivi ni kwanini wadada/wamama mkitaja neno mapenzi lazima liendane na hali ya maisha ya mkaka/mababa au uwezo wake kifedha?
Please nijibuni just that, manake mi nshaanza hata kukata tamaa!
unakata tamaa ya nini?mbona hujaweka wazi hoja yako?weka wazi utolewe hofu yako..nangoja!There is just one thing naomba kujuzwa kwanza jamani eh!
Hivi ni kwanini wadada/wamama mkitaja neno mapenzi lazima liendane na hali ya maisha ya mkaka/mababa au uwezo wake kifedha?
Please nijibuni just that, manake mi nshaanza hata kukata tamaa!
There is just one thing naomba kujuzwa kwanza jamani eh!
Hivi ni kwanini wadada/wamama mkitaja neno mapenzi lazima liendane na hali ya maisha ya mkaka/mababa au uwezo wake kifedha?
Please nijibuni just that, manake mi nshaanza hata kukata tamaa!
unakata tamaa ya nini?mbona hujaweka wazi hoja yako?weka wazi utolewe hofu yako..nangoja!