Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Habarini wakulungwa.
Nadhani wadau mtakuwa m'menotice kuwa hivi sasa simu zetu janja yaani smartphones ni kama zimekuwa na high consumption ya data isivyokawaida.....
Mimi ni mtumiaji wa internet kwenye smartphone tokea 2013. Na kwa miaka yote hii sikuwahi kuexpirience hii hali ya kuona simu inafyonza data... Na hii kitu nimeanza inotice kuanzia mwishoni mwa mwaka jana kuja mwaka huu ila its like inazidi kuwa worse....
Nimejaribu kutazama mitandao ipi inaleta shida ila nimeona ni yote wateja wake wanacomplain especially users wa bundles zilizo chini ya 5000 tsh amount.
Kuna kitu kinaniambia kichwani these guys yaani mitandao ya simu wako under some certain instructions kubana bundles ili sisi raia tusitumie sana katika kushare taarifa au kucheki yanayojiri ukizingatia kwasasa the only source ya valid na sensible information ni kupitia mtandaoni yaani social media na social networks.
Sasa kwa bahati mbaya watz sio wadadisi na kuhoji. Wanaweza jua tatizo then wakalikaushia as if haliwaathiri.
Kwa hali ilivyo sasa mtu unaweza jikuta unatumia hadi 50,000 kwa mwezi kwa hivo hivi vifurushi vya kuunga unga vinavyokatishwa kwa namna hata hazieleweki.
Nachelea kuzilaumu kampuni za simu kwa maana kwa namna wamebadilika ghafla naotea tu watakuwa under some kind of pressure from the government authorities under special and specific instructions.
Hii kitu inatuumiza sisi wengine ambao Issues za politics za tz zinatukera tu maana unakuta mtu kazi zako zina uhusiano sana na matumizi ya internet so kukosa internet ya kueleweka inafanya mambo yanasimama..... Hii kitu inaboa sana.....
Hebu mamlaka husika watambue kuwa internet na matumizi ya internet ni vitu viwili tofauti. Wadeal na matumizi mabaya ya internet na sio kuharibu kabisa internet uses kwa kuweka General restrictions kwa users.
Nadhani wadau mtakuwa m'menotice kuwa hivi sasa simu zetu janja yaani smartphones ni kama zimekuwa na high consumption ya data isivyokawaida.....
Mimi ni mtumiaji wa internet kwenye smartphone tokea 2013. Na kwa miaka yote hii sikuwahi kuexpirience hii hali ya kuona simu inafyonza data... Na hii kitu nimeanza inotice kuanzia mwishoni mwa mwaka jana kuja mwaka huu ila its like inazidi kuwa worse....
Nimejaribu kutazama mitandao ipi inaleta shida ila nimeona ni yote wateja wake wanacomplain especially users wa bundles zilizo chini ya 5000 tsh amount.
Kuna kitu kinaniambia kichwani these guys yaani mitandao ya simu wako under some certain instructions kubana bundles ili sisi raia tusitumie sana katika kushare taarifa au kucheki yanayojiri ukizingatia kwasasa the only source ya valid na sensible information ni kupitia mtandaoni yaani social media na social networks.
Sasa kwa bahati mbaya watz sio wadadisi na kuhoji. Wanaweza jua tatizo then wakalikaushia as if haliwaathiri.
Kwa hali ilivyo sasa mtu unaweza jikuta unatumia hadi 50,000 kwa mwezi kwa hivo hivi vifurushi vya kuunga unga vinavyokatishwa kwa namna hata hazieleweki.
Nachelea kuzilaumu kampuni za simu kwa maana kwa namna wamebadilika ghafla naotea tu watakuwa under some kind of pressure from the government authorities under special and specific instructions.
Hii kitu inatuumiza sisi wengine ambao Issues za politics za tz zinatukera tu maana unakuta mtu kazi zako zina uhusiano sana na matumizi ya internet so kukosa internet ya kueleweka inafanya mambo yanasimama..... Hii kitu inaboa sana.....
Hebu mamlaka husika watambue kuwa internet na matumizi ya internet ni vitu viwili tofauti. Wadeal na matumizi mabaya ya internet na sio kuharibu kabisa internet uses kwa kuweka General restrictions kwa users.