Jamhuri ya Zanzibar
Senior Member
- Jul 17, 2012
- 126
- 195
Karume: Muungano ni kama koti likitubana tunavua.
CCM Kisonge: Tunataka tukohoe ndani ya Muungano.
Mwanasheria mkuu Zanzibar: Lazima Zanzibar tutoke katika boksi la Muungano. Tulijenga nyumba pamoja haiwezekani tukae bomani.
Waziri Mansoor Yussuf Himid (CCM): Kwa muundo huu wa Muungano nasema "seebuu"
Mzee Moyo (Muasisi): Nasema muundo ninaouwafiki sasa na muundo wa muungano wa MKATABA wa kuirejeshea Zanzibar Sovereignity yake. Muundo wa serikali mbili uliopo umepitiwa na wakati.
Amani Karume: Vijana speed iwe hiyo hiyo (daini sovereignity ya Zanzibar) lakini mkikuta cross punguzeni kidogo
CCM Kisonge: Tunataka tukohoe ndani ya Muungano.
Mwanasheria mkuu Zanzibar: Lazima Zanzibar tutoke katika boksi la Muungano. Tulijenga nyumba pamoja haiwezekani tukae bomani.
Waziri Mansoor Yussuf Himid (CCM): Kwa muundo huu wa Muungano nasema "seebuu"
Mzee Moyo (Muasisi): Nasema muundo ninaouwafiki sasa na muundo wa muungano wa MKATABA wa kuirejeshea Zanzibar Sovereignity yake. Muundo wa serikali mbili uliopo umepitiwa na wakati.
Amani Karume: Vijana speed iwe hiyo hiyo (daini sovereignity ya Zanzibar) lakini mkikuta cross punguzeni kidogo