Licha ya kuwa na uzoefu na uzalendo wa kweli huyu mzee hajapewa nafasi ujumbe kamati kuu kama za kina E. Lowassa na F. Sumaye. Angekuja huku angemchalenji sana Mbowe hatimaye tungepata CHADEMA imara sana. Hawezi vumilia ubabaishaji uliopo CHADEMA!
Achana na nyumba ya watu, wewe jenga ya kwako!!Licha ya kuwa na uzoefu na uzalendo wa kweli huyu mzee hajapewa nafasi ujumbe kamati kuu kama za kina E. Lowassa na F. Sumaye. Angekuja huku angemchalenji sana Mbowe hatimaye tungepata CHADEMA imara sana. Hawezi vumilia ubabaishaji uliopo CHADEMA!
Ni ngumu kwa mtu asiye muongo kuishi chadema, lazima uwe mwongo na mpiga ramli ndio utadumu chadema.Yani Mawazo yako Ndiyo Dalili?
Duh watu kama huyu Mtoa mada ni Hasara Kwa Taifa.