Jickson Nkulikwa
Senior Member
- Nov 13, 2016
- 104
- 52
Lembeli hana mawazo membamba kama yako ,yy ni MTU mzm na anajua kuutumia ubongo wake vizuri,kwani wangapiCdm ni wanachama na si viongozi? Mtoa Maada unatakiwa maombi!
Mbona si issue km dalili za ndoto na maono ya manabii kuwa kweli.Licha ya kuwa na uzoefu na uzalendo wa kweli huyu mzee hajapewa nafasi ujumbe kamati kuu kama za kina E. Lowassa na F. Sumaye. Angekuja huku angemchalenji sana Mbowe hatimaye tungepata CHADEMA imara sana. Hawezi vumilia ubabaishaji uliopo CHADEMA!
Lembeli haiwezi hii CHADEMA ya matapeli na wapiga deal!CHADEMA ya ukweli niliyo ipigania iliondoka na Dr Slaa
Lkn Atakaa meza moja na hawa waliovuta mpunga mnene toka kwa Lowassa wamfukuze Dr Slaa?Lembeli hawezi kurudi huko kushiriki laana ya kula rambi rambi.
Kwanini mnapenda kutumia neno "ufisadi" hata mahali lisipohitajika? Lembeli na Lowassa nani alitangulia Chadema? Btw hebu tuonyeshe mpinga ufisadi mmoja tu ili tukuelewe, ila usijitaje wewe maana hujapata fursa ya kula!
Acha utahira ww ..Lowassa na Lembeli nani katangulia kujiunga na chadema ...wadanganye mapimbi wenzio wa lumumba ...kama anarudi ccm kipi cha ajabu?? Tuko imara kuliko chama chako chakavu ambacho kinapumlia mipira ya polisi ...chadema hata aondoke nani hatuwezi kuyumba ..sisi ni raia wakakamavu ..hutuwezi kuyumbishwa na upepo...achana na propaganda uchwara fisiem ww
Licha ya kuwa na uzoefu na uzalendo wa kweli huyu mzee hajapewa nafasi ujumbe kamati kuu kama za kina E. Lowassa na F. Sumaye. Angekuja huku angemchalenji sana Mbowe hatimaye tungepata CHADEMA imara sana. Hawezi vumilia ubabaishaji uliopo CHADEMA!
Ungekuwa unaufahamu vizuri mchezo wa siasa za uchaguzi mkuu mwaka jana usingeniondolea sifa ya ku-comment thread hii kwa kuwa tu nimeuliza swali hilo. Lembeli alijiunga Chadema tarehe 21 Julai, mwaka jana na tarehe 28 Julai Lowasa alitangazwa kujiunga Chadema (Ukawa?). Sasa ungejiongeza kidogo ungefahamu kuwa Lowasa alijiunga Chadema kabla ya kutangazwa kujiunga. Inajulikana wazi kuwa Lembeli alienda Chadema akitegemea pia nguvu ya Lowasa ingemsaidia baada ya kuwa amekatwa kule CCM. sasa kabla ya kuniondolea sifa za ku-comment uzi huu, rudi kwanza kalifanyie kazi suala hili badala ya kubaki na uelewa mdogo wa kusimamia tarehe ambazo watu hao walitangazwa kujiunga Chadema!Kumbe hata hujui kati ya Lembeni na Lowassa ni yupi alitangulia kuondoka CCM na kujiunga CHADEMA? Huna sifa ya ku-comment kwenye hii thread!!
1/4 ya ule utafitiLicha ya kuwa na uzoefu na uzalendo wa kweli huyu mzee hajapewa nafasi ujumbe kamati kuu kama za kina E. Lowassa na F. Sumaye. Angekuja huku angemchalenji sana Mbowe hatimaye tungepata CHADEMA imara sana. Hawezi vumilia ubabaishaji uliopo CHADEMA!
Kwahiyo anaweza tu kuishi kule wanako dhulumu rambi rambi ?? Alafu malafyale ww ndo chanzo cha mwamanyaki kuukosa ubunge hapo kyela ...toka uhamie Act wasaliti umekuwa tapeli kuliko hao wadhulumu rambi rambi ...teh teh teh tehLembeli haiwezi hii CHADEMA ya matapeli na wapiga deal!CHADEMA ya ukweli niliyo ipigania iliondoka na Dr Slaa
Weledi wa Lumumba huo!Yani Mawazo yako Ndiyo Dalili?
Duh watu kama huyu Mtoa mada ni Hasara Kwa Taifa.
Mm siwezi kuondoka CHADEMA niliyo ijenga ka mikono yanguKwahiyo anaweza tu kuishi kule wanako dhulumu rambi rambi ?? Alafu malafyale ww ndo chanzo cha mwamanyaki kuukosa ubunge hapo kyela ...toka uhamie Act wasaliti umekuwa tapeli kuliko hao wadhulumu rambi rambi ...teh teh teh teh