Wakuu nimewaza sana.Nikafikiria mno kama katiba mpya na tume huru ya uchaguzi havitapatikana kabla ya uchaguzi mkuu TZ 2015 kuna kila dalilikua kuna chama kinaweza kusimamisha Jiwe likashinda.Sasa sijajyua wanaharakati wanfanya nini,imebaki miaka mitatu tu,wanne ni hekaheka za uchaguzi.Je ni maisha bora kwa kila mtanzania yataendelea?