Kuna kila dalili Jiwe kushinda uchaguzi 2015

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Wakuu nimewaza sana.Nikafikiria mno kama katiba mpya na tume huru ya uchaguzi havitapatikana kabla ya uchaguzi mkuu TZ 2015 kuna kila dalilikua kuna chama kinaweza kusimamisha Jiwe likashinda.Sasa sijajyua wanaharakati wanfanya nini,imebaki miaka mitatu tu,wanne ni hekaheka za uchaguzi.Je ni maisha bora kwa kila mtanzania yataendelea?
 
Wakuu nimewaza sana.Nikafikiria mno kama katiba mpya na tume huru ya uchaguzi havitapatikana kabla ya uchaguzi mkuu TZ 2015 kuna kila dalilikua kuna chama kinaweza kusimamisha Jiwe likashinda.Sasa sijajyua wanaharakati wanfanya nini,imebaki miaka mitatu tu,wanne ni hekaheka za uchaguzi.Je ni maisha bora kwa kila mtanzania yataendelea?

maisha bora kwa kila mtz hakuna since 2005-2015,labda awam ya tano,na nina waswas kama katba mpya itajuwa imekamilka
 
Mimi pamoja na usomi wangu wote sijaelewa unaongelea nini. Unataka katiba mpya au Rais mzuri?
 
Wakuu nimewaza sana.Nikafikiria mno kama katiba mpya na tume huru ya uchaguzi havitapatikana kabla ya uchaguzi mkuu TZ 2015 kuna kila dalilikua kuna chama kinaweza kusimamisha Jiwe likashinda.Sasa sijajyua wanaharakati wanfanya nini,imebaki miaka mitatu tu,wanne ni hekaheka za uchaguzi.Je ni maisha bora kwa kila mtanzania yataendelea?

Mkuu tuache kinyoosha vidole kwa wana harakati .Hali ya Nchi ni mbaya kila mahali watu wanalia dhuluma, ugonjwa , madini kuporwa , ujambazi nk nawe toka nje ungana nao usingoje wao pekee waanze kuwa sehemu ya historia toka kuandika JF hadi mtaani kwa uwazi .
 
Mimi pamoja na usomi wangu wote sijaelewa unaongelea nini. Unataka katiba mpya au Rais mzuri?

Kama wewe ndo umesoma na nikilinganisha na unachokiandika humu basi kila mtu amesoma!

Tunataka vyote viwili ila Raisi mzuri hawezi kutoka ccm hii ya mafisadi labda irudi ccm ya nyerere ambayo mwenyewe kaondoka nayo.

Kumbuka Elimu ni kile kinachobaki baada ya kusahau uliyojifunza shuleni!
 
Back
Top Bottom