Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,735
Umepita msafara wa magari kama nane ya Polisi na katikati kuna gari ya magereza wanaelekea kama Kisutu.
Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano. Na hii sio mara ya kwanza kuwaona wamevaa hivyo. Ni sahihi kwa polisi kuvaa hivyo?
Naomba kusema mimi ni muoga sana hasa nikiona silaha na mtu kavaa ninja naona kama chochote kinaweza kutokea. Sijui ni watu wangapi wanaharibikiwa siku wakiona hivyo, ila kwa mimi siku yangu imeharibika kabisa leo.
Polisi wamevaa ninja wamejifunga vitambaa mdomoni na silaha zao wameelekeza juu kama vile wanajiandaa kwa mapambano. Na hii sio mara ya kwanza kuwaona wamevaa hivyo. Ni sahihi kwa polisi kuvaa hivyo?
Naomba kusema mimi ni muoga sana hasa nikiona silaha na mtu kavaa ninja naona kama chochote kinaweza kutokea. Sijui ni watu wangapi wanaharibikiwa siku wakiona hivyo, ila kwa mimi siku yangu imeharibika kabisa leo.
wanajiaanda kuekti movie usiogope