Kuna Kabinti binti binti Kananizinguaaaa...!!!!

Kuna Kabinti binti binti Kananizinguaaaa...!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
ange.png View attachment 117977 ange2.jpg ange3.jpg
Daah, sio siri huyu mtoto wa rais kagame kwa kweli namkubali sana. she is cute kwa kweli!
 
hamzidi demu wangu,,mimi napenda minyamaminyama..sio vifupa kama hiko kidada,,hawanaga stim kabisa hao..
 
Hana uzuri wowote, mimi namuona amenenepeana mishavu ovyo tu kwa sababu ya kula sana na utajiri wa baba yake,
Angekulia familia ya kawaida huyo usingemtamani hata kumuona.
 
Hana uzuri wowote yote haya ni kwa sababu ya mboga saba, mbona mademu wengi hapa uswahili kwangu wanamkimbiza huyu binti tena mbali sana...
 
  • Thanks
Reactions: mij
Ni mzurijeeeee, with her natural colour. Ila mmmmmmmmmm huyu mtoto atakuwa ana limited friends kwa baba yake kuhofia usalama wake. But she is cute.
 
Back
Top Bottom