Kuna haja ya vyama kutumia helkopta Igunga?

Ujinga ni pamoja na huo wa kwako, angalia utatongozwa mara ya pili ndo ushangae na ungunguri wako!
 
msajili ameweka kiwango cha pesa ya kampeni igunga kwa kila mgombea ni sh 40000000 na jimbo la igunga lina kata 20. usafiri wa helkopta kwa si chini ya 8000000 je? vyama kutumia helkopta hamuoni kuwa ni ubadhirifu wa pesa za ruzuku.

ubadhirifu NI KWELI...lakini ili tumfikie kila mmoja na aelewe nini maana ya kiongozi bora,na kwa wakati sahihi..lazima tutumie helikopta,tena siyo moja,tunahitaji zaidi ya moja na wanamapinduzi wengi..NACHAGUA KIONGOZI BORA BILA KUFUATA CHAMA.over
 
ndg tunafocus kutumia nguvu kidogo kufikia watu wengi, kosa lenu uwezo wa kufikiri mdogo
 
Suala la nani atumie nini hiyo siyo ishu cha msingi kipyenga kikishapulizwa kila mmoja atakimbia kwa staili yake. Wasi wasi wangu ni hawa ccm b wanaenda kufanya nini huko?
 
taabu kweli kweli yaani wanajf mbona mnakuwa wanafiki mnakemea ubadhirifu wa serikali lakini ubadhirifu wa cdm mmmmm
 
msajili ameweka kiwango cha pesa ya kampeni igunga kwa kila mgombea ni sh 40000000 na jimbo la igunga lina kata 20. usafiri wa helkopta kwa si chini ya 8000000 je? vyama kutumia helkopta hamuoni kuwa ni ubadhirifu wa pesa za ruzuku.
Ujinga ni mzigo, siku nyingine andika kwa maneno na sio tarakimu maana hakuna unalolijuwa kwenye kuandika tarakimu.
 
tuwe wakweli wanajf tunapopinga matumizi mabaya katika serikali halafu ukaunga mkono kwenye chama huo ni unafiki
<br />
<br />Hizo milioni 40 zinatosha kwa helkopta. Kwa CCM ndo hazitoshi kwa kuwa wanatakiwa kununua fulama, sare, khanga, pombe, chumbi na kununua kadi za kupigia kura. Chadema gharama zap ni helkopta tu, basi. Hata CUF nimesikia wakilalamikia mil 40 ni ndogo wanataka kutua zaidi hadi 80, sijui zote za mimo?
 
Back
Top Bottom