paesulta
JF-Expert Member
- Mar 13, 2009
- 227
- 29
http://3.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/ScJb1lnY7xI/AAAAAAAAl6c/5f0BkuJrKWs/s1600/8D6U2968.jpg
JK+2.JPG (image)
JK+2.JPG (image)
JK+3.JPG (image)
Ni kitu ambacho sielewi kabisa,je kuna haja kweli ya Rais kila anapokwenda ziarani nje ya nchi na kila anaporudi kupokelewa na uongozi wote wa nchi?kwa sababu gani hasa?maana unaona kuna Waziri Mkuu,Mkuu wa Mjeshi,Mkuu wa Polisi na viongozi wengine kedekede.kwani hawa hawana kazi nyingine ya kufanya?mi nadhani Rais angeweza kabisa kupokelewa na mtu kama Mkuu wa Mkoa,nayo inatosha sana...
sijui wadau mnaonaje?!
JK+2.JPG (image)
JK+2.JPG (image)
JK+3.JPG (image)
Ni kitu ambacho sielewi kabisa,je kuna haja kweli ya Rais kila anapokwenda ziarani nje ya nchi na kila anaporudi kupokelewa na uongozi wote wa nchi?kwa sababu gani hasa?maana unaona kuna Waziri Mkuu,Mkuu wa Mjeshi,Mkuu wa Polisi na viongozi wengine kedekede.kwani hawa hawana kazi nyingine ya kufanya?mi nadhani Rais angeweza kabisa kupokelewa na mtu kama Mkuu wa Mkoa,nayo inatosha sana...
sijui wadau mnaonaje?!