Kuna haja ya kumjulisha?

Kuna haja ya kumjulisha?

Mtoto hafichwi hata siposema leo ipo siku utasema mwambie tu.
 
xo xory my, bt mjulishe mwenzio ajue ile damu yke hapo ndo atajua mwenyewe kumjali au kumpotezea,,,,,,, bt ucfe moyo wngpi wamelelewa na mama tuu nw wamewin maisha,,,,
 
Sikiliza moyo wako...ningekuwa mimi wala nisingemwambia...kwa kuwa alikuacha akijua mimba ina miezi 7 kama ana shida na mtoto wake basi atakutafuta kwani anajua baada ya miezi 9 mtoto huzaliwa...otherwise mtoe kwenye mahesabu yako...utamtafuta akupe jibu lingine uanze na kumchukia mwanao sababu ya babake...
 
uamuzi unao wewe umwambie au laah usikute nae labda anatega we ndo uanzishe mawasiliano
 
Tatizo muomba ushaur hataki kueleza side A ilikuwaje hadi jamaa anaamua kufanya haya,maana inaonekana kuna jambo kubwa alilofanya huyu mwanamke ndo maana yametokea haya..na kwa uzoefu ni kuwa wanawake huwa ni watu wanaoanza kuumiza wanaume kwa kutokuwa waaminifu,mwanaume akifanya yake huwa mwanamke husika hupiga kelele sana kuwa anaonewa na hawako tayar kusema ukweli kwa walichofanya...nina amini hiyo mimba itakuwa ilishaleta mgogoro haswa wa jamaa kutokuwa na imani kuwa ni yake..

Uliza side A Kuna nini acha kuleta hadithi za kufikirika!
 
Kwa bahati nzuri sijui mbaya......sijui...watoto wa namna hii hufanana sana na baba zao.....kwahyo hata ukificha akija kumuona aaona hii copy yangu kbsa.
 
Ukmwambia anaweza kudhani unaomba hela ya pampers
 
sina mawasiliano mazuri na my x na nibaada ya kuwa na ujauzito. hapo nyuma tulikua na mawasiliano mpaka ujauzito ulipofika miez 7 ndo akanitamkia hanipendi tena.. kisa nimemuuliza kwa nn anaficha cm yake na akiingia ndani anaizima au anaweka silent kifupi story ni ndefu

sasa bas tangu ujauzito unamiezi 7 hajawahi kunipigia cm wala msg ya kuniuliza naendeleaje wala kujua afya yangu.... mpaka sasa miez tisa nauliza wenzangu mungu akinisaidia nikajifungua salama kuna haja ya kumjulisha kama nimejifungua? au nikae tu kimya maana niliondoka kwake nipo kwetu na nahudumiwa na wazazi wangu.


salio la kupenda limekata dah
 
Mmeishi pamoja mpaka ujauzito umefikisha miezi saba ndio ukaondoka,hii ina maana ulianza clinic mkiwa wote na tarehe ya makadirio anaijua. Kama ulipoondoka mlikoma kuwasiliana kabisa hata salamu hampeani basi huna haja ya kumwambia. Kama anajali kuhusu huyo mtoto atakuwa anahesabu siku huko aliko na atakuja kuwaona yeye!!!
Umesema ni X eeee!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom