Kuna haja ya kumjulisha?

Kuna haja ya kumjulisha?

Ubaya haulipwi kwa ubaya, wewe mwambie ikiwezekana na jina atoe yeye.
 
Ubaya haulipwi kwa ubaya, wewe mwambie ikiwezekana na jina atoe yeye.

mie sioni haja ya yeye kujulishwa lolote.....kama wazazi wake wanamhudumia basi hata jina watoe wazazi.....huyo mwanaume aendelee na yake.......na bibie afanye yake.........maana akufaae kwa dhiki ndiye rafiki......
 
naww acha kujipaka mafuta ww vp?
Mpe ushaur ww sasa. Hvi wakat wanavuana vyupi walikuja kutuomba ushaur?
Acha kulealea watu bhana

Mkuu hapo kwenye kekundu ulipaswa nikuchape ban ya nguvu.
otherwise jaribu kuvaa kiatu cha mlita uzi then tafakari
 
Mashtaka ya mimba yamekuwa mengi sana humu ndani, jmani wanaume kama vipi msiwe mnakojoa au mwe mnavaa ndomu tu sasa, tumeshachoka sasa
 
Haya mambo huwez kuamua kwa kuangalia tamati bila kuangalia chanzo...sasa unamuambia usimuambie umuambie halafu????

pierre tall, mwenye uzi hajaleta kesi. minimeelewa kama mleta uzi ame hit the piont, i mean amekuna kufikia pale mkono ulipo ishia. anachitaji ni ushauri wa kwamba amwambie jamaa au hakuna haja ya kumwambia?Hii kitu ipo very clear
:frusty::whip:
 
kupata khabari ni haki yake ya msingi utakuwa umekiuka katiba kama hutamfahamisha.
 
no, ucninyamanzie bby plz stl have u lv waz just kidng lv u bby nambie2 k, mc u xaana tel mama n baba mkwe dat a lv dem n mc dem take care k byeeeeee
 
kupata khabari ni haki yake ya msingi utakuwa umekiuka katiba kama hutamfahamisha.

Kwenye katiba hii kitu imeandikwa ? Huyo ni mkwepa majukumu haiwezekani mtu ajikaushe hata kuuliza mwanamke wake anaendeleaje au ndio alilkuwa amemtumia matumizi yake yameisha sio sawa kabisa!useless man
 
no, ucninyamanzie bby plz stl have u lv waz just kidng lv u bby nambie2 k, mc u xaana tel mama n baba mkwe dat a lv dem n mc dem take care k byeeeeee
Ni nini hii mkuu mbona kama umeandika ujumbe wa simu ?
 
Sina mawasiliano mazuri na my x na nibaada ya kuwa na ujauzito.

Hapo nyuma tulikua na mawasiliano mpaka ujauzito ulipofika miez 7 ndo akanitamkia hanipendi tena.. kisa nimemuuliza kwa nini anaficha simu yake na akiingia ndani anaizima au anaweka silent kifupi story ni ndefu.

Sasa basi tangu ujauzito unamiezi 7 hajawahi kunipigia simu wala message ya kuniuliza naendeleaje wala kujua afya yangu mpaka sasa miezi tisa nauliza wenzangu mungu akinisaidia nikajifungua salama kuna haja ya kumjulisha kama nimejifungua?
Nikae tu kimya maana niliondoka kwake nipo kwetu na nahudumiwa na wazazi wangu.

Eeeh. Kaa kimya
 
Jamani hivi hili wimbi la wadada kupewa mimba na kuachwa mbona linazidi cku hadi cku?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom