Ngonini bravo!!
Mi nadhani jamaa ni mmoja wa wale wanaotaka kutumika kiaina kueneza propaganda za kutaka kuidhoofisha cdm.
Mpaka hapa ilipo cdm ni kwa sababu ya uongozi shupavu wa mh. Mbowe. Amekuwa ni mtu mwenye uchungu na chama na kiongozi wa kweli.
Mi nazani kuna namna ccm inajaribu kupenyeza vurugu ndani ya cdm ili kukivuruga kama ilivokuwa wkt ule nccr.
Kina zitto, mnyika na wengine nazani muda wao bado ache waendelee kukomaa ndani ya chama mpaka wkt muafaka kwao
ukifika wa kushika hatamu.
Kamanda mbowe kaza buti maana ndo kwanza kunakucha.
Propaganda za uchaga sijui nini! Ni vilio vya wafa maji
maana walianza uchaga, wakaja ukanda, then wakaja udini, wakaja sijui nini lkn wa-tz wamekuwa wakiwapuuza kwa hizi sio zama za ujinga tena.
We want justice and see our country sailing thru from where we are!
When we see people with alternative visions of our economic problems what we need is to give a helping hand by supporting them
ki-ukweli tanzania tumekwama we need to move out from here.
Miaka 50 ya uhuru bado tuna tambaa.
Mtu wa miaka hamsini kama ni kuoa pengine ana wajukuu tayari. Sasa sisi mpaka sasa hatujaweza kujitegemea miaka 50 ya uhuru bado tuko na utegemezi kibao wa donor support.
Inauma kwa kweli
Mi nadhani jamaa ni mmoja wa wale wanaotaka kutumika kiaina kueneza propaganda za kutaka kuidhoofisha cdm.
Mpaka hapa ilipo cdm ni kwa sababu ya uongozi shupavu wa mh. Mbowe. Amekuwa ni mtu mwenye uchungu na chama na kiongozi wa kweli.
Mi nazani kuna namna ccm inajaribu kupenyeza vurugu ndani ya cdm ili kukivuruga kama ilivokuwa wkt ule nccr.
Kina zitto, mnyika na wengine nazani muda wao bado ache waendelee kukomaa ndani ya chama mpaka wkt muafaka kwao
ukifika wa kushika hatamu.
Kamanda mbowe kaza buti maana ndo kwanza kunakucha.
Propaganda za uchaga sijui nini! Ni vilio vya wafa maji
maana walianza uchaga, wakaja ukanda, then wakaja udini, wakaja sijui nini lkn wa-tz wamekuwa wakiwapuuza kwa hizi sio zama za ujinga tena.
We want justice and see our country sailing thru from where we are!
When we see people with alternative visions of our economic problems what we need is to give a helping hand by supporting them
ki-ukweli tanzania tumekwama we need to move out from here.
Miaka 50 ya uhuru bado tuna tambaa.
Mtu wa miaka hamsini kama ni kuoa pengine ana wajukuu tayari. Sasa sisi mpaka sasa hatujaweza kujitegemea miaka 50 ya uhuru bado tuko na utegemezi kibao wa donor support.
Inauma kwa kweli