Kama mtakumbuka Uchaguzi Mkuu wa cdm uliopita ulikuwa na mazengwe na kupelekea Chama kupoteza wanachama na viongozi mashuhuri. Binafsi sikupendezwa na hilo na hizi tetesi za manung'uniko miongoni mwa Wanachama zitapeleka cdm pabaya. Kuna watu wameaza kujenga imani eti Mwenyekiti wa cdm lazima awe mchagga.
Mimi sioni kama Freeman Aikaeli ana mvuti (Charisma)wa kuwa kiongozi, na anarudisha nyuma jitihada za cdm kukamata dola.
Bora uitishwe uchaguzi tupate kiongiozi makini.
Kuna akina Zitto, Mnyika; tunang'ang'ania Mbowe wa nini? au zile fedha za urithi?
Mimi sioni kama Freeman Aikaeli ana mvuti (Charisma)wa kuwa kiongozi, na anarudisha nyuma jitihada za cdm kukamata dola.
Bora uitishwe uchaguzi tupate kiongiozi makini.
Kuna akina Zitto, Mnyika; tunang'ang'ania Mbowe wa nini? au zile fedha za urithi?