Kuna haja ya kizazi hiki kufikiria kutumia bahari kwa Kilimo na kwa matumizi mengine ya nyumbani na viwandani

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Jan 3, 2013
2,161
1,493
Kwa namna dunia inavyoenda, shughuli za kiuchumi zinavyoongezeka Duniani hasa kwenye sekta ya Viwanda na matumizi ya mkaa katika nchi masikini, mabadiliko ya tabia ya nch hayaepukiki.

Nguvu inayotumika kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi ni ndogo saaana kulinganisha na uharibifu unaofanyika katika misitu etc.

Kuna umuhimu saana kuanza kufikiria kutumia bahari yetu kwa Kilimo, Kuna uwezekano mkubwa huko mbeleni mvua isinyeshe mwaka mzima au ukame wa kudumu.

Tuwekeze kwenye kuhakikisha kuwa Mikoa kama Iringa, Mbeya, Njombe etc watumie maji ya bahari kwa Kilimo japo sio leo lakini kufikiria hili ni muhimu.

Mikoa ya kanda ya ziwa itumie maji ya ziwa Victoria kwa Kilimo etc.
Kizazi hiki kisipofikiria kuwekeza katika vyanzo vya maji vyenye uhakika hapo baadaye itakuwa janga kubwa sanaa.

Kwa nafasi yako panda miti kuokoa mabadiliko ya tabia ya nch.

Mungu ibariki Tanzania

Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hatuna viongozi wenye hayo maono hasa Bongolala land...

Juzi nilibahatika kuona documentary iliyokua imeandaliwa na DW shirika la habari la Germany, likionyesha jinsi ukame na jangwa yote Kwa pamoja yana vyokua kwa kasi kubwa sana....

Kilichokuja kuonyeshwa pia jinsi Dunia itakapokwenda kukosa huduma ya kinacho itwa maji, hivyo wakaja na mpango wakulinda kila tone la maji linalomfikia mwananchi... Pia wakaamua kuunda Sheria kali dhidi ya watumiaji wabaya wa maji, pia wakaunda technology inayojihusisha na kubadili maji yanayotumika kuogea yarudi kwenye system ili yatumike katika kuogea,kufua,usafi na mengine mengi, kama kwenye kilimo na viwanda....... Halafu maji ya kupikia na kunywa yakawa ni Yale yanayotoka kwenye vyanzo vya maji halisia....

Africa na Bongolala sisi tuendelee kupigana na Chadema na vyama Vingine vya upinzani huku wananchi wakifa njaa....
Shame on Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa namna dunia inavyoenda, shughuli za kiuchumi zinavyoongezeka Duniani hasa kwenye sekta ya Viwanda na matumizi ya mkaa katika nchi masikini, mabadiliko ya tabia ya nch hayaepukiki.

Nguvu inayotumika kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi ni ndogo saaana kulinganisha na uharibifu unaofanyika katika misitu etc.

Kuna umuhimu saana kuanza kufikiria kutumia bahari yetu kwa Kilimo, Kuna uwezekano mkubwa huko mbeleni mvua isinyeshe mwaka mzima au ukame wa kudumu.

Tuwekeze kwenye kuhakikisha kuwa Mikoa kama Iringa, Mbeya, Njombe etc watumie maji ya bahari kwa Kilimo japo sio leo lakini kufikiria hili ni muhimu.

Mikoa ya kanda ya ziwa itumie maji ya ziwa Victoria kwa Kilimo etc.
Kizazi hiki kisipofikiria kuwekeza katika vyanzo vya maji vyenye uhakika hapo baadaye itakuwa janga kubwa sanaa.

Kwa nafasi yako panda miti kuokoa mabadiliko ya tabia ya nch.

Mungu ibariki Tanzania

Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wewe hujui kwanini maji ya bahari hayatumiki kumwagilia mikoa ya Dar, Tanga, Mtwara, Pwani na Lindi? Yale ni maji chumvi ukimwagilia nayo unaharibu ardhi na mimea. Pia purification ya maji ya bahari kuondoa chumvi ni ghali sana!
 
Wewe hujui kwanini maji ya bahari hayatumiki kumwagilia mikoa ya Dar, Tanga, Mtwara, Pwani na Lindi? Yale ni maji chumvi ukimwagilia nayo unaharibu ardhi na mimea. Pia purification ya maji ya bahari kuondoa chumvi ni ghali sana!
Hawa ndio wanawashauri viongozi wetu ghali? Kama saud arabia wamewezaje? Unatumia trillion 14 kuzalisha umeme unautumia maji na maji yenyewe finyu... Vipi tutakojolea mule? Baada ya miaka 15 ijayo? Hiyo nchi ipo Uruguay nasikia wameanza kujaza maji kwenye bwawa Kwa miaka 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa namna dunia inavyoenda, shughuli za kiuchumi zinavyoongezeka Duniani hasa kwenye sekta ya Viwanda na matumizi ya mkaa katika nchi masikini, mabadiliko ya tabia ya nch hayaepukiki.

Nguvu inayotumika kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi ni ndogo saaana kulinganisha na uharibifu unaofanyika katika misitu etc.

Kuna umuhimu saana kuanza kufikiria kutumia bahari yetu kwa Kilimo, Kuna uwezekano mkubwa huko mbeleni mvua isinyeshe mwaka mzima au ukame wa kudumu.

Tuwekeze kwenye kuhakikisha kuwa Mikoa kama Iringa, Mbeya, Njombe etc watumie maji ya bahari kwa Kilimo japo sio leo lakini kufikiria hili ni muhimu.

Mikoa ya kanda ya ziwa itumie maji ya ziwa Victoria kwa Kilimo etc.
Kizazi hiki kisipofikiria kuwekeza katika vyanzo vya maji vyenye uhakika hapo baadaye itakuwa janga kubwa sanaa.

Kwa nafasi yako panda miti kuokoa mabadiliko ya tabia ya nch.

Mungu ibariki Tanzania

Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
What a thread, you have made my day.
Very interesting, congratulations.👏
I like you are vision.

Ni wazo zuri sana, kwa sababu mabadiliko ya tabia nchi hayawezi kukwepeka kutokana na ongezeko la watu dunia, ukosefu wa ajira, ongezeko la joto pamoja na GreenHouse Gases (GHG's) katika mazingira.

Ni jukumu letu kama wananchi pamoja na serikali kuwa na plan B juu ya maswala mtambuka kama aya. Jinsi gani yatafanyiwa purification na kuweza kutumika kama maji ya kawaida.
💆‍♂️ Everyone of us, we must think first before we conclude anything.
Ndio maana wenzetu wana think tanks department kabisa.

Thanks for the content, na ubarikiwe Sana👏👏
 
Hatuna viongozi wenye hayo maono hasa Bongolala land...

Juzi nilibahatika kuona documentary iliyokua imeandaliwa na DW shirika la habari la Germany, likionyesha jinsi ukame na jangwa yote Kwa pamoja yana vyokua kwa kasi kubwa sana....

Kilichokuja kuonyeshwa pia jinsi Dunia itakapokwenda kukosa huduma ya kinacho itwa maji, hivyo wakaja na mpango wakulinda kila tone la maji linalomfikia mwananchi... Pia wakaamua kuunda Sheria kali dhidi ya watumiaji wabaya wa maji, pia wakaunda technology inayojihusisha na kubadili maji yanayotumika kuogea yarudi kwenye system ili yatumike katika kuogea,kufua,usafi na mengine mengi, kama kwenye kilimo na viwanda....... Halafu maji ya kupikia na kunywa yakawa ni Yale yanayotoka kwenye vyanzo vya maji halisia....

Africa na Bongolala sisi tuendelee kupigana na Chadema na vyama Vingine vya upinzani huku wananchi wakifa njaa....
Shame on Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii tumelala Sana, na vingozi wetu wamelala pia.
Kwenye uongozi nadhani Kuna watu wapo tu pale lkn hawakupaswa kuwa viongozi kwa maana ya kuwa hawana malengo ya miaka mingi ijayo.
Mm naweza kuongea point nyingine ni kwenye matumizi ya aridhi, ukifikiria kwa undani sana Kuna baadhi ya Wilaya hazikupaswa watu kuishi Bali yawe Mashamba tu kwasababu aridhi ni nzuri kwa Kilimo.
Lkn sisi sehemu nzuri zenye rutuba tuna jenga nyumba, binafsi huwa na jiuliza hivi ikifika 2050 tuta kula nn?
Maana watu tunaongezeka na aridhi yenye rutuba tuna jenga nyumba, Kilimo hatuja kiwekea mikakati mizuri.
Dunia imebadilika Sana Ina tubidi kama nchi tubadilike kwa kasi Sana kupendana na kasi ya mabadiliko.
 
Back
Top Bottom