Kuna haja ya hizi kampuni kujitafakari na kubadili mifumo ikiwezekana

Will Billy

JF-Expert Member
Feb 21, 2015
300
378
Wakuu katika pitapita zangu maeneo mengi nimekutana na uchafuzi wa mazingira wa kiwango cha juu unaosababishwa na chupa(makopo) ya plastic ya energy drinks yaani Mo energy na Azam na nyinginezo.

Baada ya kuwahoji waokota makopo wanasema makopo hayo ya rangi hayauziki hivyo hawayaokoti kwakua hayauziki, nachojiuliza why hizi kampuni (viwanda) wasifanye recycling ili yaweze kutumika tena na sio kutupwa ovyo kila sehem?

Kuna haja ya hawa jamaa kuitafakari mifumo yao ya uendeshaji ili kupunguza athari kwenye mazingira na cha zaidi kupunguza gharama za uendeshaji kwa kuyarecycle(kuyarudisha makopo yaliyotumika kwenye matumizi)

JPEG_20210113_111456_7090232743909717694.jpg
 
unayalaumu makampuni badala ya Kulaumu watu ambao ndio wanaochafua mazingira
Ki kawaida makampuni huwa yanatakiwa kuwajibika. Ni kama muuza ndizi za kuiva au mmenya machungwa. Maganda huwa ni jukumu lake. Serikali imewahi zungumza kuhusu hili suala la makampuni ya vinywaji kuwajibika na uchafu wa makopo.
 
Back
Top Bottom