Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,597
- 46,215
Kwa nini Katiba ya Tanzania ilitaka mawaziri lazima wawe wabunge ?
Faida ni zipi mawaziri kuwa wabunge?
Mawaziri hulipwa mshahara wa ziada juu ya mshahara wao wa ubunge?
Kama mawaziri wanalipwa mshahara wa ziada tofauti na wa ubunge kumteua mtu ubunge kisha kumpa uwaziri si inaigharimu serikali isivyo lazima kwa jambo ambalo lingeweza kuepukwa kwa kuwa na mawaziri wasio wabunge ?
Faida ni zipi mawaziri kuwa wabunge?
Mawaziri hulipwa mshahara wa ziada juu ya mshahara wao wa ubunge?
Kama mawaziri wanalipwa mshahara wa ziada tofauti na wa ubunge kumteua mtu ubunge kisha kumpa uwaziri si inaigharimu serikali isivyo lazima kwa jambo ambalo lingeweza kuepukwa kwa kuwa na mawaziri wasio wabunge ?