NDESSA
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 1,946
- 1,800
Wakuu kuna demu nimetongoza vizuri kakubali,sasa jana aliniahodi atakuja akanitajia na muda kabisa,akanijulisha yuko barabarani anasubiri gari,nikamuambia kama usafiri shida nimfuate akasema atanijulisha ikawa ndo kimya hakujibu msg wala calls mpk asbh.Leo nimemcheck kasema anakuja sasa tangu alasiri hajibu msg mara anasema yuko saloon bado kidogo nk...mpaka muda huu kimya,mara bado kidogo mara nitakuchek...mpk ninechoka.Je huyu anaeleweka kweli au mwizi tu?
