Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,015
Una hela wewe ya kumchangia lissuTunaomba namba mkuu ya kutuma michango yetu kwa ndugu lissu.
Una hela wewe ya kumchangia lissuTunaomba namba mkuu ya kutuma michango yetu kwa ndugu lissu.
Acha unafiki iweke hapa, ama sivyo hiyo ni sehemu ya uchochezi wenu. Kama halima kaiweka wewe unaikosajeSio kila kitu cha kuweka vingine ni vitu sensitive hasa ukizingatia mvutano uliopo juu ya hii issue.
Tuwekee KamandaNikiwa nipita mitandaoni na kuingia katila akaunti ya twitter ya Mdee,nimekuta ame-post clip ambayo ukiisikiliza na kama ni ya kweli,inatuthibutishia ni kina nani walimshambulia kamanda wetu na pia inaonyesha bado wana nia hiyo.
Najiuliza hiyo clip ni kweli imevuja au wameivujisha makusudi kwa lengo la kumtisha tu au wameivujisha kwa malengo ya kutoa siri (kuhujumiana)?
Mhusuka hakutaja mtu kwa jina ila anaongelea anachostahili kufanyiwa wanaemuita msaliti hata baada ya kusalimika huku wakigusia ziara yake huko nje.
Mhusika anaongelea habari ya kamanda kuhojiwa huko aliko na huku akisema wazi kuwa katika vita ya uchumi kama kuna mtu anawakwamisha basi mnatanguliza yeye.
In short,ni clip fupi lakini inayotupa picha ya kina nani walihusika na Mdee amewa-tag wenye mamlaka katika hiyo tweet yake.
Nashauri clip ichunguzwe uhalisia wake na wahusika wahojiwe japo hawajataja jina la mtu vinginevyo msilaumu watu kwa kuwanyooshea kidole.
Nimalizie kwa kusema, iwapo hili jambo wataendelea kuli-handle kwa style hii, basi wajue linaweza kupelekea anguko lao wakati wowote.
Katika hiyo audio clip,kuna kiongozi yeyote kutoka serikalini ambaye sauti yake inasikika?ama sauti inayosikika katika hiyo clip,imetambuliwa ni kama ya kiongozi gani serikarilini?kwamaana mtu yeyote bado anaweza kufanya kitu kama hiko kwa sababu anazozijua yeye!!!
Acha sauti za wanyonge zipazwe,bora lisu ameanza kuongea wallah haya yote tusingeyajua
Mtu asiependa mawazo ya wengine ni mbabe sana hutumia nguvu kuliko akili
Nyinyi kweli wajinga, mnataka kutuaminisha hii speech ya Waitara ndiyo inahusika na jaribio ya mauwaji ya Lisuu. Mmekosa pa kushikilia mmebaki mnatapatapa.Nashindwa kuelewa inakuaje hio clip inavuja wakati wako busy kukanusha na kujitetea kuwa hawahusiki.
Unaweza kuwataja,inaonesha unawajua.Hatari sana aisee ,na ukiisikia Sauti anaongea huku ' ame relax.Yani ukiwa na Mamlaka unaona unaweza kila kitu ,sasa hata hiyo Vita ya ki Uchumi anayo izungumzia ina fanana na Tukio la Mh Lissu kweli ?.
Aliyo yaongea Mkuu wa Kaya (Jiwe) kuhusu namna ya kudili na Msaliti ndio wanayo yaongea hawa wasaidizi wake,bado wana Mpango wa kukamilisha Mission Sababu Kuu ya kinacho endelea kwa sasa.
Mkuu siri zinatoka taratibu!Nyinyi kweli wajinga, mnataka kutuaminisha hii speech ya Waitara ndiyo inahusika na jaribio ya mauwaji ya Lisuu. Mmekosa pa kushikilia mmebaki mnatapatapa.
Waitara alikuwa kambi yenu rasmi, wakati wa tukio , au mnataka kutuambia waitara leo anavujisha siri zenu za namna viongozi wenu walivyoungana na badhi ya wenzao wa upande wa pili ili kumsimisha TL na juhudi zake.
The consiperancy of the murder attempt on Lissu many are involved including those of his party
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siri zinatoka taratibu!
Hupendi kusoma ndo maana bado hujaiona. Kilaza mkubwa.Tuwekee Kamanda
Unaposema alikuwa mstari wa mbele wakati tukio lilipotokea unamaanisha nini?!Mkuu hiyo ni kugeuza maneno, kwenye hiyo clip Waitara anazungumzia jambo in general na hamaanishi shambulio la Lissu.
Waitara alikuwa chadema tena mstari wa mbele wakati tukio hilo lilipotokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu jaribu kumstiri kiongozi wako, maana ndo mwenye Hasira za hovyo, ameunda genge la kuteka watu, kafukuza wafanyakazi 16,000 hajaajiri hata mmoja, kaikomba hazina yote pesa, anagombana na jumuiya ya kimataifa bila Sababuukikosa mayai ya uzao ni tabu sana.muda wote ww na hasira hasira na ww
Basi hatutaki umbea na ukome kuleta mambo ya khanga humu,peleka FB hukoSio kila kitu cha kuweka vingine ni vitu sensitive hasa ukizingatia mvutano uliopo juu ya hii issue.