Undercover_Bot
JF-Expert Member
- May 8, 2018
- 416
- 414
hivi siku hizi vita yq kiuchumi naona ndio imekua excuse sana kwetu hapa kwa wanasiasa lakini mbona nchi kibao zina hii vita lakini freedoms of speech and democracy imekuwa safi tu lakini kwetu imekuwa tofauti na kinyume au tunacheza hii vita vibaya? au hatufaham wakuwatargets na taasisi gani zinapaswa kucheza hii vita
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app