Mwalufunamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 211
- 129
Watanzania tuna tabia ya kupenda kuangalia maisha ya watu wengine na kuanza kukosoa, badala ya kuangalia maisha yetu binafsi na kusonga mbele. hapa duniani kila mtu ana maisha na maamuzi yake mradi havunji sheria, kuna dada anamlaumu kaka yake kwa nini aliamua kuacha chuo mjinga sana yule wakati yeye mwenyewe hata form four hakumaliza, huyu mwingine analaumu watu kununua gari badala ya kujenga utakuta yeye hana hata kimoja na hata kama anavyo vyote ishi maisha yako achana na ya wengine hayakuhusu.
Hapo kwenye bold kunanifanye nikuone wewe kuwa ***** mtoozeni. Kwahiyo ulitaka afurahie? Hujagundua kuwa huyo dada amejifunza kwa vitendo hasara ya kutomaliza form four sasa hafikirii na hapendi mtu katika familia yao kufanya kosa kama lake ktk familia kulifanya. Halafu unayejiita GT, unaunga mkono kuacha chuo, zuzu kweli.