Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
Habari za mihangaiko wana jamvi, nakuja kwa kasi ya 4G.
Moja kwa moja kunako mada.Tatizo naloliona kwangu ni hili,
Kuna baadhi ya watu huwa nikikutana nao nahisi kama wananionea aibu Wake kwa waume sasa huwa nahisi tatizo nini?
Wana jamvi msaada wa kimawazo.
Moja kwa moja kunako mada.Tatizo naloliona kwangu ni hili,
Kuna baadhi ya watu huwa nikikutana nao nahisi kama wananionea aibu Wake kwa waume sasa huwa nahisi tatizo nini?
Wana jamvi msaada wa kimawazo.