The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Mie hata kwenye uhalisia achilia mbali JF, kama unaleta mambo ya vumbivumbi ntakutazama tu na kunyamaza...najua ni upepo tu utapita.
Ndomana mimi naishiaga tuMie hata kwenye uhalisia achilia mbali JF, kama unaleta mambo ya vumbivumbi ntakutazama tu na kunyamaza...najua ni upepo tu utapita.
Kweli Baba yoyoo halaf sio kitu humu unachulia serious aisee utakufwaa kabla ya siku zakoAaaah! Yaani mtu amchafue Samaritan wa JF alaf nikose usingizi? Nna mambo mengi sana yanayohitaji muda na kuninyima usingizi. JF hua ni sehem ya kutolea uchovu na burudani tu, haijawahi kuniangusha.
Kwenye maisha usihangaike sana na watu wanavyowaza au kusema kuhusu wewe, kama unaamini uko sahihi na unachokifanya unafurahia, hauvunji taratibu , endelea na maisha yako. Huwezi kuwaridhisha binadamu...
wordUsichukie kila kitu humu serious mdada, mie na upole wangu kuna siku niliyarushiwa hayo yako ni kidogo sanaaa....
Ni kuwapuuza watajiona wajinga tuu, we sema asante pita. Hilo neno litawaumiza maana wanajua hukustahili. Na ndivyo nilivyo fanya mie...
BAK anakujua, mumeo anakujua inatosha. Sisi hata hamna sababu ya kujieleza maana wengine wanazidi kukubeza...
Tulia na mumeo huku jf ni kichakani hebu chukulia ni mwiba tu umekuvuta nguo, we usivute nguo itachanika. Geuka utoe mwiba tena kwa akili usijekuchoma na wewe. Sasa tuendelee na safari mdada. Just let it go.....
Kweli Baba yoyoo halaf sio kitu humu unachulia serious aisee utakufwaa kabla ya siku zako
Wordskama naweza kukushauri dada yangu ni kua kitu muhimu hpa oga ulale kama una mme go cuddle with him,,,, hii michezo haihitaji hasira itakuumiza tu yaan hpa kuna watu wanakuzngua tu they dont mean it,,,,... the more u vent off ur anger the more u get criticized and made fun of,...
Kweli unatutia aibu wanawake wenzio ukijiona una mihemko ya ajabu kama hii usiwe unachangia uzi wenye mihemko kama yako
Haya Magroup ya Whatsapp ni hatari sana kwa Wanandoa na Wachumba. Nimeshuhudia mambo ya KutishaHuo uzi unaitwaje nahisi kutaka kuusoma
Wife sasa kweli kabisaaa yanii kumbe huko mnapeana mbinu shirikishi za kechepushwa, Haya sasa mtu hadi kaenda kukutana na wanaume Wa dar kakutana na Jaza ujazwe....Kuona app ya jf kwa mkeo umenyong'onyea wakati wewe unakesha hapa
.
.
Hubby tuvumiliane tu kwa kweli..jf sihamiii.