Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Huu mpambano nimechelewa wapi sijui.
Barikiwa sana Mkuu (SHEMEJI YETU) mkumbatie sasa baba walau mtafute asubuhi ilipo, achana na hizi harakati .Aksante kwa Ujumbe wako mzuri.Wewe pm hapana.Upo good.BAK hahusiki.Nilitaka awaambie hao wanaodhani.Mimi nafanan Na Hayo Magroup ya uchafu.Mfano.Sasa Hivi uambiwe Umeua au umezini.nje ya ndoa Ili Hali hujafanya Hivyo.Utanyamaza Eti ukilalamika umefanya au unajitetea.nafsi yako.Aksante kwa kuelewa mpendwa.
Agiza daku nitalipia..Usichukie kila kitu humu serious mdada, mie na upole wangu kuna siku niliyarushiwa hayo yako ni kidogho sanaaa....
Ni kuwapuuza watajiona wajinga tuu, we sema asante pita. Hilo neno litawaumiza maana wanajua hukustahili. Na ndivyo nilivyo fanya mie...
BAK anakujua, mumeo anakujua inatosha. Sisi hata hamna sababu ya kujieleza maana wengine wanazidi kukubeza...
Tulia na mumeo huku jf ni kichakani hebu chukulia ni mwiba tu umekuvuta nguo, we usivute nguo itachanika. Geuka utoe mwiba tena kwa akili usijekuchoma na wewe. Sasa tuendelee na safari mdada. Just let it go.....
Eti eeh!!Jiwe la gizani huwa halikosei
Poleni Wanawake Wa Jf.Kweli unatutia aibu wanawake wenzio ukijiona una mihemko ya ajabu kama hii usiwe unachangia uzi wenye mihemko kama yako
Ndo hata mi nashangaagaAaaah! Yaani mtu amchafue Samaritan wa JF alaf nikose usingizi? Nna mambo mengi sana yanayohitaji muda na kuninyima usingizi. JF hua ni sehem ya kutolea uchovu na burudani tu, haijawahi kuniangusha.
Kwenye maisha usihangaike sana na watu wanavyowaza au kusema kuhusu wewe, kama unaamini uko sahihi na unachokifanya unafurahia, hauvunji taratibu , endelea na maisha yako. Huwezi kuwaridhisha binadamu...