BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,110
- 14,074
Chumba changu cha kwanza kupanga hapa DSM kilikuwa kipo vibaya ila kutokana na hali ikabidi nikizoee licha ya uchakavu wa chumba changu ili kuna baadhi ya vyumba mitaani vilikuwa too much nikakumbuka kuna mshikaji alipata kazi ya kupuliza dawa ya mbu kwenye wilaya fulani alikuwa akiniambia brother kuna watu wanalala sehemu mbaya.
DSM vyumba vingi vilivyopo karibu na mjini ambavyo vinarange kati ya 50000 to 80000 ni majanga aisee kama budget yako ni hiyo na unatafuta chumba mitaa ya karibu na town utawakasirikia madalali bure hakuna chumba cha maana vyumba vidogo vyenye uchakavu wa hali ya juu.
Unajua ukuta wenye fangasi brother? Unajua chumba kisicho na singibodi jirani yako akipiga show au kujadiliana na mke wake vyote unasikia achana na hayo vipi choo cha kulenga ukishusha mzigo maji machafu yanakurukia makalioni wewe acha tu usione masista duu na mabraza men wamependeza ila wanapoishi ni balaa tupu.
Tutafute pesa wakuu tuwe na access ya makazi bora
DSM vyumba vingi vilivyopo karibu na mjini ambavyo vinarange kati ya 50000 to 80000 ni majanga aisee kama budget yako ni hiyo na unatafuta chumba mitaa ya karibu na town utawakasirikia madalali bure hakuna chumba cha maana vyumba vidogo vyenye uchakavu wa hali ya juu.
Unajua ukuta wenye fangasi brother? Unajua chumba kisicho na singibodi jirani yako akipiga show au kujadiliana na mke wake vyote unasikia achana na hayo vipi choo cha kulenga ukishusha mzigo maji machafu yanakurukia makalioni wewe acha tu usione masista duu na mabraza men wamependeza ila wanapoishi ni balaa tupu.
Tutafute pesa wakuu tuwe na access ya makazi bora