Kuna anayewafahamu vizuri ForePlan Clinic ya Dr. Mwaka?


Ni kama hutofautishi kati daktari wa tiba (tabibu) na daktari wa falsafa!! Doctorate in Philosophy (PhD)
 
Yap Hata babu wa loliondo aliuaga umaskini kwa ubunifu huo na bado wapo wataalam kibao wakusafisha nyota mtaani na wateja wanapata so be creative be millionaire
 

Sisi hatuna pesa za kwenda India na dokta Mwaka ni tabibu wa matatizo kibao yanayo shindikana kwenye hospital zao naimani sana na tiba asilia kuliko za hospital wenyewe wanauwezo wa kutibia magonjwa ya kufanyiwa oparation kwa dawa za kunywa tu na unakuwa sawa tezi dume hospital ni mpaka oparation lakini kwa wazee wa tiba asilia ni dozi tu ya miti shamba unakaa poa na oparation zao zinasumbua kila siku unauzuria klinic wakati kwa tabibu jj mwaka ni miti shamba unakuwa mzima milele
 
Sijui ka ni kweli au la ila dr kasharuka mita mia
 
Dr.Mwaka ni tapeli la karne ya sasa,ni mganga wa kienyeji na wala hajawahi kusomea udaktari.Kazi yake ni kukariri kama kasuku masomo ya uganga na kuyatoa redioni au kwenye runinga.Kama ni kweli ni daktari aweke cv yake hapa.Eti ana mashine ya kugundua magonjwa yote kwa kushika tu na mkono.Hivyo ni viroja vya karne.Pathology,Biochemistry amejifunzia wapi na saa ngapi? Serkali naona inamchelewesha kumshughulikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…