GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,449
- 127,624
Ni wimbo ambao kiukweli kwa sasa ndiyo una hit sana airwaves za Radio Stations nyingi za Tanzania ambapo siujui wote ila Kibwagizo chake tu ndiyo nimekikariri ambacho kinasema ' nampa Papa.....Papa.....Papa....nampa Papa '. Hapa Mtunzi anamaanisha nini labda? Nitashukuru nikielimishwa.
Nawasilisha.
Nawasilisha.