Eng.Dullah
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 372
- 304
Wakuu nimeona nitoe tahadhari kuhusu hili ambalo limetokea kwa ndugu yangu ikabidi aniulze kama ni kweli nikamwonya kukaa mbali coz nimehisi ni utapeli. Ila nikaona niwahusishe kuna ambali wamewahi kukutana na ujumbe kamaa kama ilivyo hapa chini:-
Hi, am Mr. John from ST. ELIZABETH SCHOOLS, tupo kikaoni tunashortlist candidates wa kuinterview for O-LEVEL TEACHER, ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 900,000/=(take home), your 1st salary utanipa laki 2 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 na nusu leo jioni uwe umetuma tshs. elfu 25 kwa tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia nikitoka kikaoni
Mwisho.
Hi, am Mr. John from ST. ELIZABETH SCHOOLS, tupo kikaoni tunashortlist candidates wa kuinterview for O-LEVEL TEACHER, ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 900,000/=(take home), your 1st salary utanipa laki 2 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 na nusu leo jioni uwe umetuma tshs. elfu 25 kwa tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia nikitoka kikaoni
Mwisho.