Kuna aliekutana na huu utapeli?

Kuna aliekutana na huu utapeli?

Namimi kuna Mhuni mwenye namba 0758485467 kanipigia kwa ahadi kama hiyo
Aaaaaaa ngoja nicheke mie ajui nilihitimu masomo ndio nikaanza shule mtaani
Wakuu nimeona nitoe tahadhari kuhusu hili ambalo limetokea kwa ndugu yangu ikabidi aniulze kama ni kweli nikamwonya kukaa mbali coz nimehisi ni utapeli. Ila nikaona niwahusishe kuna ambali wamewahi kukutana na ujumbe kamaa kama ilivyo hapa chini:-


Hi, am Mr. John from ST. ELIZABETH SCHOOLS, tupo kikaoni tunashortlist candidates wa kuinterview for O-LEVEL TEACHER, ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 900,000/=(take home), your 1st salary utanipa laki 2 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 na nusu leo jioni uwe umetuma tshs. elfu 25 kwa tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia nikitoka kikaoni


Mwisho.
 
Wakuu nimeona nitoe tahadhari kuhusu hili ambalo limetokea kwa ndugu yangu ikabidi aniulze kama ni kweli nikamwonya kukaa mbali coz nimehisi ni utapeli. Ila nikaona niwahusishe kuna ambali wamewahi kukutana na ujumbe kamaa kama ilivyo hapa chini:-


Hi, am Mr. John from ST. ELIZABETH SCHOOLS, tupo kikaoni tunashortlist candidates wa kuinterview for O-LEVEL TEACHER, ntakusaidia upate hii kazi kwa masharti haya, salary ni 900,000/=(take home), your 1st salary utanipa laki 2 kwa kukusaidia na kabla ya saa 10 na nusu leo jioni uwe umetuma tshs. elfu 25 kwa tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email, nitakupigia nikitoka kikaoni


Mwisho.[/QUOTE
nyanga ilo mkuu
 
Zamani take home ya laki tisa ilikua pesa nyingi kweli kweli

Sasa hivi dooh wataanza kuandika milioni tatu kwenye utapeli wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom