Mzee ahmadi
Member
- Sep 8, 2014
- 5
- 0
me nasoma tu
Wa kwanza - Ni wale ambao wanawake wanawatafuta kwa kuwatega na kujitongozesha
Wa pili - Ni wale wanao watongoza wanawake bila wao kutongozwa.
Katika group la wa kwanza. Cha kushangaza, wengine mpaka unajiuliza kwanini anapapatikiwa hivi???? Mda mwingine mpaka hawa wanawake hugombana.
Embu wanawake fungukeni, kuna siri gani. Najiuliza ni nyota ya mtu ama???? Au wana majini mahaba????
Kutongozwa na mwanamke raha ww asa ukiwa unajifanya hutaki bas bichwa hilooo
twende basi ukanipe kampani huko makaburini....siku saba nyingi sana nitakuwa mpwekee
mamitooooooo......
Hahaaaaa
kuna wale:
1. wenye umbo zuri ila hana hela na kitandan ndo vile tena!!!
2. ni mzuri mpaka anakuwa shoga kwa kujiona!!!!
3. kuna wale wazuri kisa ana hela nyingi!!!
4. kuna wazuri wanagombaniwa na wasichana ila wanajiheshimu na wana kazi nzuri mfano mzuri kama mimi..."
5. kuna wazuri ila hawana bahati ka ajili ya hasira zao!!!
na kadhalika...........