Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,276
Kundi lipi hilo. Au la wale hata wakitongoza hawakubaliwi kwa wepesi. Au ni lipi.
hawa hawatongozi wala hawatongozwi,utamuona anajishughulisha tu ila asemi chochote
Kundi lipi hilo. Au la wale hata wakitongoza hawakubaliwi kwa wepesi. Au ni lipi.
Kundi gani tena mkuu!!!
Na mchumba wa South Africa je?
Hapo hakuna.hata mmoja niliemfata nikamtongoza mungu shahid yangu
sasa unao wote wawili kwa sasa au mchumba kakuacha?
Hii mada imekaa kimtego mtego hasa hasa kwa #TeamB kaa nayo mbali hii kitu msije mkatoa siri za chama bure....!!
kuna wale:
1. wenye umbo zuri ila hana hela na kitandan ndo vile tena!!!
2. ni mzuri mpaka anakuwa shoga kwa kujiona!!!!
3. kuna wale wazuri kisa ana hela nyingi!!!
4. kuna wazuri wanagombaniwa na wasichana ila wanajiheshimu na wana kazi nzuri mfano mzuri kama mimi..."
5. kuna wazuri ila hawana bahati ka ajili ya hasira zao!!!
na kadhalika...........
kuna wale:
1. wenye umbo zuri ila hana hela na kitandan ndo vile tena!!!
2. ni mzuri mpaka anakuwa shoga kwa kujiona!!!!
3. kuna wale wazuri kisa ana hela nyingi!!!
4. kuna wazuri wanagombaniwa na wasichana ila wanajiheshimu na wana kazi nzuri mfano mzuri kama mimi..."
5. kuna wazuri ila hawana bahati ka ajili ya hasira zao!!!
na kadhalika...........
hawa hapa hawajui nini maana ya mapenzi:
View attachment 184121
hahaaaa hawana hata michepuko ya kusingiziwa.Kund la tatu ni wale madomo zege... hawatongozi na wala hawatongozwi... hawa tunawaita WAGUMU CLASSIC