Kuna aina mbili za wanaume

Kuna aina mbili za wanaume

Kundi lipi hilo. Au la wale hata wakitongoza hawakubaliwi kwa wepesi. Au ni lipi.

hawa hawatongozi wala hawatongozwi,utamuona anajishughulisha tu ila asemi chochote
 
sasa unao wote wawili kwa sasa au mchumba kakuacha?

Ahhhha hapa tunaongelea aina mbili za wanaume sio masuala ya kuachana....hakuna alieniacha hata mmoja na hapo mhusika mkuu n.mmoja tu
 
Hii mada imekaa kimtego mtego hasa hasa kwa #TeamB kaa nayo mbali hii kitu msije mkatoa siri za chama bure....!!
 
Hii mada imekaa kimtego mtego hasa hasa kwa #TeamB kaa nayo mbali hii kitu msije mkatoa siri za chama bure....!!

Kundi la tatu mbona mumeliacha eye deal. Kundi hili ni la watu wa ishara tu hawatongozi wala hawatongozwi. Wao ishara moja washakusoma kila kitu kwa simu tu.
Hawa hupenda sana kukaa katika vibaraza vya mageto yao yaani mkonyezo mmoja kwa ishara moja inatosha demu kuenda kupenya mlango wa uani nae anapita mlango wa mbele hao mziki chumbani tena kimyaaaaa kimyaaaa hahaaaaha
 
kuna wale:
1. wenye umbo zuri ila hana hela na kitandan ndo vile tena!!!
2. ni mzuri mpaka anakuwa shoga kwa kujiona!!!!
3. kuna wale wazuri kisa ana hela nyingi!!!
4. kuna wazuri wanagombaniwa na wasichana ila wanajiheshimu na wana kazi nzuri mfano mzuri kama mimi..."
5. kuna wazuri ila hawana bahati ka ajili ya hasira zao!!!
na kadhalika...........

kama wew? baba umetudanganyaaaa
 
kuna wale:
1. wenye umbo zuri ila hana hela na kitandan ndo vile tena!!!
2. ni mzuri mpaka anakuwa shoga kwa kujiona!!!!
3. kuna wale wazuri kisa ana hela nyingi!!!
4. kuna wazuri wanagombaniwa na wasichana ila wanajiheshimu na wana kazi nzuri mfano mzuri kama mimi..."
5. kuna wazuri ila hawana bahati ka ajili ya hasira zao!!!
na kadhalika...........

hahahaaaaaa namba 4 uko higher sijui umejipaishaje
 
sasa mbona umeruhusu wanawake tu ndo wafunguke??
 
Back
Top Bottom