Kuna aina kuu mbili za mke

Kuna aina kuu mbili za mke

Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa anachotaka, mpole, mvumilivu, mwenye subra.. Na hata mumewe anapokasirika yeye humtuliza kwa tabasamu linalovutia na kumfanya mume atulie....

Aina ya pili ni mke ambae kila mmoja anae.. 🏃🏃🏃🏃🏃
Hebu msifie mama chanja wako
Dooooooooooooo
 
Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa anachotaka, mpole, mvumilivu, mwenye subra.. Na hata mumewe anapokasirika yeye humtuliza kwa tabasamu linalovutia na kumfanya mume atulie....

Aina ya pili ni mke ambae kila mmoja anae..
Hebu msifie mama chanja wako
Tehe tehee
 
Aina ya kwanza ni mke anayemsikiliza mumewe, anayemtii na kuelewa anachotaka, mpole, mvumilivu, mwenye subra.. Na hata mumewe anapokasirika yeye humtuliza kwa tabasamu linalovutia na kumfanya mume atulie....

Aina ya pili ni mke ambae kila mmoja anae..
Hebu msifie mama chanja wako
Aina ya pili yukoje mkuu? Naomba kumjua
 
Unaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.

Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.


Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.
 
Unaambiwa Dunia ya Leo aina ya kwanza ya wanawake uliotaja ni asilimia 5% ya wanawake wote.

Vijana wengi wanakimbia na kuvunja ndoa kwa sababu wanawake wa leo WAMEKENGEUKA.


Lakini naendelea kuwaasa aina ya kwanza ya wanawake bado ipo acheni kukurupukia MATAKO MAKUBWA.
Mkuu naomba ufafanue hapo pa kupapatikia matako makubwa.

Naona hadi umeandikwa kwa mwandiko mkubwa.
 
Mkuu naomba ufafanue hapo pa kupapatikia matako makubwa.

Naona hadi umeandikwa kwa mwandiko mkubwa.
Hahahah Sisi wanaume tunadhani NDOA ni mvuto wa Shape na Sura, mvuto wa sex na kushindana na marafiki.
 
Mkuu hiyo sura uliyoweka ni kavu kinomaa...nilitaka nije PM ikabidi niogope.
Hiyo sura isikutishe Sana huyo ni mlinzi tu yupo hapo kwa ajili ya kuogopesha mabaharia
 
Back
Top Bottom