njundelekajo
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 310
- 227
..............ana mahaba mazito na sammata mpaka amegeuka bango lake la matangazo?anaujua zaid mpira wa ulaya kuliko makocha wa ulaya wanavyoufahamu?........kwenye uchambuzi wa soka anatuleteea habri za kumbi za starehe za nje alizoingia?,,,,habari na uchambuzi wake anatafsiri chambuzi za vyombo vya habari vya ulaya?,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,