Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
Mungu wangu.......ningemdunda aiseee.....yani apeleke nguo kwa fundi kamwacha mwanangu sauti imekauka.......
ungemdundaaaaa!!!?? hujaona wenzio wanavyonyea ndoo sahivi ndugu kwa kuwapiga hao watu??
na ukimdunda ataendelea kukaa na mwanao ama utambadilisha??