rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Aisee kuna kipindi Kwenye uhusiano inafika Unajikutaa umemchokaa sana Girl wako na hunaa hisia nae Kabisa.. Sema unakuwa unaendelea nae sababu Unamuonea huruma vile anakupenda sanaa na ushampotezea muda wake sana...!! Japo ni mbaya maana muda unakwenda so Kama mtu umemchoka jitahidi umchanee tu japo atalia na kuumia Ilaa NI BORAAA...kuliko kuendelea kumpotezea muda mtoto wa watu miaka yenyewe inaenda...

