Yaani utamzalisha Tena watoto watatu? Mhurumie mwenzako. Ushauri wangu muoe kama mnapendana kwa dhati.kwani siwezi kusawazisha na kushida hadi 3-6 au?
Yaani utamzalisha Tena watoto watatu? Mhurumie mwenzako. Ushauri wangu muoe kama mnapendana kwa dhati.kwani siwezi kusawazisha na kushida hadi 3-6 au?
Mwaka moja na nusu tangu waachane.Haja tueleza huyu mwanamke tokea waachane na Baba watoto no miaka mingapi imeshapita
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajitaftia matatizo na stress za bure ungekuwa na watoto watatu na wewe ngoma itakuwa droo, Sasa huyo ipo siku atarudiana na mumewe ndio utajua hujui, Yani wamezaa watoto watatu na kaachwa ujue ana shida, watu walioshibdwaga mahusiano yaliyofikia kuwa na watoto huwa Wana matatizo na machungu moyoni kiasi hawapendeki tena
Kama michezo ya bahati nasibu mkuu!kwani siwezi kusawazisha na kushida hadi 3-6 au?
kwa maelezo haya nakupa green light Mzee baba...Mkuu kumbuka na mimi am 41yrs kupata vibint vya 20-25 ambavyo havijazalishwa ni kazi pia, na pia sina mda wakutongoza kwa hali ya kazi yangu, ni lzma nipate workmate pia nina watoto bint ambaye hajawahi kuzaa ni chagamoto kwa wanangu.
Yatawashinda tu ka wake wote anakosana nao atafte kichenchede Cha kupoza engine aisee hajaandikiwa ndoaKeshasema yeye anao 4...
watu wa Pwani hawanaga wivu huku bongoland aka Tanzania bara wanauana kisa mapenziSasa mkuu ungekuwa unaishi Zanzibar si jui ungesemaje Maana huku Zanzibar mwanamke aliye zaa watoto wa 5 anaolewa tena na kijana wa 27, Yani wanaume wa Zanzibar hawa jui eti ukioa mwanamke aliye zalishwa unakuwa umeoa mke wamtuYan wenyewe wanaoa tu mwanamke akiachwa Tu ata awe na watoto 8 anaolewa tena na kija
Sent using Jamii Forums mobile app
watu wa Pwani hawanaga wivu huku bongoland aka Tanzania bara wanauana kisa mapenzi
Kasema yeye ana wa4 kule juu...Unajitaftia matatizo na stress za bure ungekuwa na watoto watatu na wewe ngoma itakuwa droo, Sasa huyo ipo siku atarudiana na mumewe ndio utajua hujui, Yani wamezaa watoto watatu na kaachwa ujue ana shida, watu walioshibdwaga mahusiano yaliyofikia kuwa na watoto huwa Wana matatizo na machungu moyoni kiasi hawapendeki tena
Mpka hapa inaonesha ushafanya maamuzi, sasa bas fuata vle moyo wako umeamua.Wawili tutaka nao wa 2yrs mgine 5yrs mkubwa 9yrs anaenda kwa bibi mza mama.
Naona umekuja kiugomvi ugomvi sasa, wanawake wawili ndo uniseme kwamba nimeshindwa, acha funjo mkuu, hao wanawake unao waona kwa wastani wanapitiwa na wanaume sio chini ya watano( 5) paka aje olewe, wewe ndo shahidi taja wakwako paka hapo ulipo........lakini wegi wako 30+ lakini bado hawajakata tama.Yatawashinda tu ka wake wote anakosana nao atafte kichenchede Cha kupoza engine aisee hajaandikiwa ndoa
ila inawafanya wasiwe na stress za mapenzi aiseeKweli. Kuna mmoja nilikaa naye nyumba moja ya kupanga. Mke akawa anadanga wakati mume anatizama tu. Kuna wakati alikuwa analala huko huko lakini mume akawa amekubaliana na hali hiyo!!
Mkuu bado maamuzi kabisa, na ninavo soma comment za wadao naona hapa upepo umesha badilika kabisa, siwezi kubeba gunia la misumali kichwani, huo bibie naona anataka kunitumia kama revage tool lohMpka hapa inaonesha ushafanya maamuzi, sasa bas fuata vle moyo wako umeamua.
Upendo husitir wngi wa dhambi
Haki ya kupenda hakuumbiwa mwanamke, wameumbiwa kutii tu, huyu anayeomba haolewe hataweza kutii, anaongozwa na tamaa ya kumiliki u.b.o.o tu. Hafai kwani hana ushwawishi angeweza kumshawishi kwa unuenyekevu aliyempa mimba ya kwanzaKama mnapendana haina shida, single moms pia wana haki ya kupenda/kupendwa. Fanya maamuzi sahihi.
Mkuu usimalizie stress za mahusiano yako bana, nikukasirikie Ili iweje sikujua au vile sojaandika unachokipenda, nothing personal here nimekuja tu ku comments ka raia wengine so relax aisee.Naona umekuja kiugomvi ugomvi sasa, wanawake wawili ndo uniseme kwamba nimeshindwa, acha funjo mkuu, hao wanawake unao waona kwa wastani wanapitiwa na wanaume sio chini ya watano( 5) paka aje olewe, wewe ndo shahidi taja wakwako paka hapo ulipo........lakini wegi wako 30+ lakini bado hawajakata tama.
Dah hatariKasema yeye ana wa4 kule juu...
Don't panic ,haya ya humu usiyachukue yote .mengine chuja , humu unaweza kukuta unabishana na watu wapo kwenye ulimwengu wa kufikirika na wewe ukawa na experience kubwa sana ya mahusiano na ndoa.Mkuu bado maamuzi kabisa, na ninavo soma comment za wadao naona hapa upepo umesha badilika kabisa, siwezi kubeba gunia la misumali kichwani, huo bibie naona anataka kunitumia kama revage tool loh
Alibakwa..???Wote wa baba moja ila hawakua na ndoa, yeye anadai alizaa watoto wakwanza akiwa chuoni bila kupenda.