Wewe kwa akili zako timamu, unahisi mpenzi ni Mama Yako?Et unamuita mke au mpenzi mama yangu, hivi mama yako akisikia unamuita dem au mke mama yangu atakuelewa kweli? Huo siniuzoba wakuu?
Kwani mama maana yake ni nini mkuu??Ni mamayako huyo?
sasa unatakaje chiefEt unamuita mke au mpenzi mama yangu, hivi mama yako akisikia unamuita dem au mke mama yangu atakuelewa kweli? Huo siniuzoba wakuu?