Kumuacha MTU Anaekupenda Kweli...

Kumuacha MTU Anaekupenda Kweli...

Mimi mwenyewe nalitambua hilo ndo maana hata sishangai coz najua hiki ni kikombe changu acha nikinywe
Ofco mzee kuna kipindi unapigika balaa.. Me mwaka Jana mwishoni mademu watatu walinizingua kwa mpigo aisee ingekuwa sina Mwingne wa kuniliwazaa ilikuwa Balaaa
 
Acha tu inafikia wakati unaamua kuwa fisi tu kula na kusepa japo mazingira ya kutendwa ukiacha na dada zetu kuto jua nini wanataka ila hata sisi tunachangiaga
Ofco mzee kuna kipindi unapigika balaa.. Me mwaka Jana mwishoni mademu watatu walinizingua kwa mpigo aisee ingekuwa sina Mwingne wa kuniliwazaa ilikuwa Balaaa
 
Apo sasaa....tena wengine kaz zetu izi za sites unakuta mtu upo juu ya nguzo ya umeme mtu anapiga simu unajua labda kuna tatzo unapokea unakutana na swali la baby umekula
Daaa umesema kwel mkuu...mm kuna mmoja huyo yaan yy cm kila mda na sms anataka mchat mda wote yaan i miss uu nying...mpaka mda mwngne anakupigia upo kwenye makelele halaf anakwambia nmekumiss daaa nikaona huyu analeta stimu sio yaan anakupigia cm saa nane za uck et nmekumiss dadeq
 
Inamaana huyu kwa kupitia chaputa kaisha gongwa na wangapi
Kama mwenyekiti kivuli nachukua nafasi hii kutoa takwimu iliyotukuka.


Tunatakribani ya member million 25 (takwimu za mwisho wa mwaka juzi) hapa napenda kukutaarifu amekwisha sepa na kijiji kama chote katika chama hiki mkuu.
 
Nikajua hii huwa inatutokea wanawaje tu kumbe hata nyie!! Niliwahi kupenda mara moja tu, mara zingine zote huwa napretend.
 
Back
Top Bottom