Kumuacha MTU Anaekupenda Kweli...

Kumuacha MTU Anaekupenda Kweli...

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,170
Reaction score
43,975
Katika mahusiano kuna vioja vingi lakini sometimes Wanaume huwa tunafake Sana Love ili mradi Upate kuridhisha mwili wako... unatumia kila gharama,Kilaa Mbinuu,Kila Uongoo kumrubuni mtoto wa watu kumbe umetamani tu Shape yake....Chura ulilee usepee! Kimbembe kinakuja ushamfunua na Binti wa watu Kazama kweli aisee unajitahdi Kufake na kupretend unampenda kumbe Humfeel hata kidogooo yani Sasa usiombe adake Mimba weee.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Iliwahi nitokea aisee Japo nlilimuacha lakini Hadi Kesho najihukumu maana alinipenda kweli..!

Je ushawahi kupretend kwenye mapenzi...mwisho wa siku ilikuwaje???
IMG-20180919-WA0052.jpg
 
Wanawake wanapenda sana ila wanakuaga na vijitabia fulan hv ambavyo unakuta sisi wanaume tunaona kabisa kua hafai kua mke japo ana upendo wa kweli...Mfano mpenz wangu niliemuacha juzkat yy alikua na mapenz ya dhati kabisaa tatzo lake ni tabia ya kuniharakisha kumuoa na kunipigia simu kila saa...ayo mambo nilikua nachukia sna na nilijitahid kumueleza lakini akashindwa kuyazuia
 
Wanawake wanapenda sana ila wanakuaga na vijitabia fulan hv ambavyo unakuta sisi wanaume tunaona kabisa kua hafai kua mke japo ana upendo wa kweli...Mfano mpenz wangu niliemuacha juzkat yy alikua na mapenz ya dhati kabisaa tatzo lake ni tabia ya kuniharakisha kumuoa na kunipigia simu kila saa...ayo mambo nilikua nachukia sna na nilijitahid kumueleza lakini akashindwa kuyazuia
Duuh alikuwa anawahisha ndoaa...
 
Katika mahusiano kuna vioja vingi lakini sometimes Wanaume huwa tunafake Sana Love ili mradi Upate kuridhisha mwili wako... unatumia kila gharama,Kilaa Mbinuu,Kila Uongoo kumrubuni mtoto wa watu kumbe umetamani tu Shape yake....Chura ulilee usepee! Kimbembe kinakuja ushamfunua na Binti wa watu Kazama kweli aisee unajitahdi Kufake na kupretend unampenda kumbe Humfeel hata kidogooo yani Sasa usiombe adake Mimba weee.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Iliwahi nitokea aisee Japo nlilimuacha lakini Hadi Kesho najihukumu maana alinipenda kweli..!

Je ushawahi kupretend kwenye mapenzi...mwisho wa siku ilikuwaje???View attachment 882093

Hili ndio gurudumu la maendeleo. Inapendeza kwa kweli, nitoe wito kwa serikali iongeze kasi kuwafikisha wanawake hasa hawa wadada kwenye gurudumu la maendeleo
 
Mnipe mkuu
Wanawake wanapenda sana ila wanakuaga na vijitabia fulan hv ambavyo unakuta sisi wanaume tunaona kabisa kua hafai kua mke japo ana upendo wa kweli...Mfano mpenz wangu niliemuacha juzkat yy alikua na mapenz ya dhati kabisaa tatzo lake ni tabia ya kuniharakisha kumuoa na kunipigia simu kila saa...ayo mambo nilikua nachukia sna na nilijitahid kumueleza lakini akashindwa kuyazuia
 
Wanawake wanapenda sana ila wanakuaga na vijitabia fulan hv ambavyo unakuta sisi wanaume tunaona kabisa kua hafai kua mke japo ana upendo wa kweli...Mfano mpenz wangu niliemuacha juzkat yy alikua na mapenz ya dhati kabisaa tatzo lake ni tabia ya kuniharakisha kumuoa na kunipigia simu kila saa...ayo mambo nilikua nachukia sna na nilijitahid kumueleza lakini akashindwa kuyazuia
Mkuu hauko makini kabisa, hizo ndo sababu ukampiga chini?
 
Back
Top Bottom