funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Mojawapo ya kazi ya wizara ni kutunga sera.hivi Muhongo ametunga sera gani ambayo tutamkumbuka nayo?
For me Mrema lyatonga atakumbukwa kuliko muhongo.
Muhongo,Magufuli na marehemu Mgimwa ni watu wenye hadaa kwa kutumia ufundi wa kuongea.
Mleta mada unadhani watoto wanamkumbuka baba yao kwa kuleta nyama nyumbani?
Unatuwekea umeme kwa mkopo tutakaoulipa baadaye halafu unaachia mabilioni yapotee yet unataka tukusifie!!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
For me Mrema lyatonga atakumbukwa kuliko muhongo.
Muhongo,Magufuli na marehemu Mgimwa ni watu wenye hadaa kwa kutumia ufundi wa kuongea.
Mleta mada unadhani watoto wanamkumbuka baba yao kwa kuleta nyama nyumbani?
Unatuwekea umeme kwa mkopo tutakaoulipa baadaye halafu unaachia mabilioni yapotee yet unataka tukusifie!!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA