Kumtosa Prof. Muhongo

Kumtosa Prof. Muhongo

Kanyafu Nkanwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2010
Posts
850
Reaction score
103
Katika ujinga mkubwa sana kwa watanzania ambao tumeufanya kipindi hiki cha mwisho cha utawala wa JK ni kumtosa Prof. MUHONGO. Huyu mtu amekuwa ingini ya maendeleo ya sector ya nishati nchini kwa asilimia kubwa sana. Amejitahidi sana kuweka sawa masuala ya nguzo za tz kutoka South Africa na pia amefanikiwa kushusha gharama za conne tion majumbani. Hatujaongelea mkakati wa gas na miradi mingi sana kuanzia kiwira mpaka mchuchuma.

Watanzania tumezoea kushikwa shikwa na ujinga jinga ikafikia sehemu tukawa wajinga sana na kushawishi system kumtoa! Lazima Mungu, ama katuroga au katulaani mpaka vichwa haviwazi tena.

Mwenyezi Mungu mpe amani Prof.
 
Usilolijua ni kama usiku giza nene pole sana kama umeumia jifunze kutafiti ukweli jambo husika kabla ya kuropoka na kuwaita watanzania wajinga mm nadhani wewe ndiyo mbumbumbu usie jua kitu
 
Me mwenyewe nilishindwa kuweka umeme nguzo 1 ilikuwa 1 m and above baada ya mhongo kuingia madarakani nimeweka kwa laki 1 na 76 Elfu tu jamani kumuondoa muhungo imeniuma kweli taswira ya maendelea ya Wizara ya nishati na madini katika kuchochea maendeleo ya nchi ilikuwa imeshaanza kuonekana Muhongo watanzania wakukumbuka. Halafu Rais wetu nae kakosa maamuzi kwa nini kila jambo unaloaambiwa ni ndio tu. Huwezi kutimiza matakwa ya kila mtu ktk jamii but wengi wape wachache wasikilize Muhongo hakika alikuwa ni waziri wa karne.
 
Usilolijua ni kama usiku giza nene pole sana kama umeumia jifunze kutafiti ukweli jambo husika kabla ya kuropoka na kuwaita watanzania wajinga mm nadhani wewe ndiyo mbumbumbu usie jua kitu

Mhongole looks like you the most idiot and stupidiest yet uninformed in this sag
 
Me mwenyewe nilishindwa kuweka umeme nguzo 1 ilikuwa 1 m and above baada ya mhongo kuingia madarakani nimeweka kwa laki 1 na 76 Elfu tu jamani kumuondoa muhungo imeniuma kweli taswira ya maendelea ya Wizara ya nishati na madini katika kuchochea maendeleo ya nchi ilikuwa imeshaanza kuonekana Muhongo watanzania wakukumbuka. Halafu Rais wetu nae kakosa maamuzi kwa nini kila jambo unaloaambiwa ni ndio tu. Huwezi kutimiza matakwa ya kila mtu ktk jamii but wengi wape wachache wasikilize Muhongo hakika alikuwa ni waziri wa karne.

Nakwambia wajinga ndiyo hawajui. Sijajua ujinga huu nani katuponza nao.
 
Mhongo ninan?!,:-B kama kaondoka yeye wizara si imebaki'!,kwami aliyoyafanya alikuwa anatumia hela yake ya mfukoni?!,kama sivyo alirmtithi ataendekeza mazuri yake na mabaya ndio haya yamemtoa,chezea siasa za bongo wew
 
Tatizo la nchi hii badala ya kujenga na kuhimarisha taasisi tunatengeneza miungu watu, eti wakitoka na taasisi zinakufa.
Huu ni ujinga na upuuzi wa kiwango cha juu na ndio mkwamo wa nchi hii kusonga mbele unapoanzia.
Watu wamekazana kujenga majina yao kuliko kuimarisha taasisi wazozisimamia, ukiangalia utendaji wa Magufuri, Mwakyembe, Muhongo si wakitaasisi, ni wakibinafsi zaidi maana wakitoka mapungufu na utendaji wa taasisi hizo uonekana dhahiri na kuporomoka ghafla.
Watanzania tunapaswa kubadilika, a strong taasisi ni kama katiba bora na imara, it will last forever.
 
Me mwenyewe nilishindwa kuweka umeme nguzo 1 ilikuwa 1 m and above baada ya mhongo kuingia madarakani nimeweka kwa laki 1 na 76 Elfu tu jamani kumuondoa muhungo imeniuma kweli taswira ya maendelea ya Wizara ya nishati na madini katika kuchochea maendeleo ya nchi ilikuwa imeshaanza kuonekana Muhongo watanzania wakukumbuka. Halafu Rais wetu nae kakosa maamuzi kwa nini kila jambo unaloaambiwa ni ndio tu. Huwezi kutimiza matakwa ya kila mtu ktk jamii but wengi wape wachache wasikilize Muhongo hakika alikuwa ni waziri wa karne.

huu ni mradi wa mcc fedha zilitolewa na bush mradi ukiisha gharama zitabaki palepale. kumbuka muhongo alikuwa mwenyekiti wa stamico enzi ya nyerere ikamfia mkononi ndo akaenda kufundisha jiografia africa ya kusini.

mradi wa mcc niandiko mradila ngeleja ndio maana vijiji saba vya majaribio vilikuwa ni sengerema kwao ngeleja. tusipotoshane.
 
Tatizo la nchi hii badala ya kujenga na kuhimarisha taasisi tunatengeneza miungu watu, eti wakitoka na taasisi zinakufa.
Huu ni ujinga na upuuzi wa kiwango cha juu na ndio mkwamo wa nchi hii kusonga mbele unapoanzia.
Watu wamekazana kujenga majina yao kuliko kuimarisha taasisi wazozisimamia, ukiangalia utendaji wa Magufuri, Mwakyembe, Muhongo si wakitaasisi, ni wakibinafsi zaidi maana wakitoka mapungufu na utendaji wa taasisi hizo uonekana dhahiri na kuporomoka ghafla.
Watanzania tunapaswa kubadilika, a strong taasisi ni kama katiba bora na imara, it will last forever.

Kila jambo huwa lina mwanzilishi na mwendelezaji. Muhongo alivunja vunja ukiritimba na mfumo wa kihuni wa uendeshaji sector ya nishati nchini. Sector hii imekuwa kero na chanzo cha matatizo makubwa ya nishati nchini. Kama walivyo Stalin, Mao, Castro, Muhongo alijitahidi kuweka sawa mfumo ambao wewe na wengine tungelazimika kuufuata. No wonder wajinga wakafanya party waliposikia kang'olewa. Wanaamini wataanza tena kuuza mafuta ya umeme 5000 kwa litre na gnerators zao.
Si kama unavyosema hapo juu.
 
suala la kuwajbka lkfka haliangalii ulfanya nn,wap na ln,halafu tunategemea viongoz kufanya vzr ktk uongoz kila cku na kukosea liwe jambo ambalo c la kawaida.cku hz n knyume kukosea kwa viongoz n kawaida na kuperfom vzr c jambo la kawaida.HT KAMA AMEFANY MAZUR MENG LKN AKALITIA TAIFA HASARA LAZMA AWAJBSHWE HVY KUJIUZULU KWAKE N SAWA ILI KULNDA MAADIL YA VIONGOZ NA MATUMAIN YA WANANCH DHID YAO.
 
suala la kuwajbka lkfka haliangalii ulfanya nn,wap na ln,halafu tunategemea viongoz kufanya vzr ktk uongoz kila cku na kukosea liwe jambo ambalo c la kawaida.cku hz n knyume kukosea kwa viongoz n kawaida na kuperfom vzr c jambo la kawaida.HT KAMA AMEFANY MAZUR MENG LKN AKALITIA TAIFA HASARA LAZMA AWAJBSHWE HVY KUJIUZULU KWAKE N SAWA ILI KULNDA MAADIL YA VIONGOZ NA MATUMAIN YA WANANCH DHID YAO.

Muhongo hajakosea sehemu yoyote katika hili sakati. Aliomba ushauri wa mwanasheria mkuu na wizara ya fedha. Akaambiwa fedha si za serikali. Siku zote amesimamia hapo hapo
 
Wenye upungufu wa akili na mafisadi ndiyo wanamchukia muhongo lakini punde wataona kuwa alikuwa wa muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Muhongo hajakosea sehemu yoyote katika hili sakati. Aliomba ushauri wa mwanasheria mkuu na wizara ya fedha. Akaambiwa fedha si za serikali. Siku zote amesimamia hapo hapo
Hakuna popote pale inaonesha kuwa zile pesa ni za umma ndiyo ukweli ulivyo muhongo aliziba mianya ya mafisadi ndiyo chanzo cha kuandamwa.
 
Hakuna popote pale inaonesha kuwa zile pesa ni za umma ndiyo ukweli ulivyo muhongo aliziba mianya ya mafisadi ndiyo chanzo cha kuandamwa.

Kama mheshimiwa Rais wetu angekuwa na akili asingeruhusu haya ila ndo mafisadi wenyewe
 
Kila jambo huwa lina mwanzilishi na mwendelezaji. Muhongo alivunja vunja ukiritimba na mfumo wa kihuni wa uendeshaji sector ya nishati nchini. Sector hii imekuwa kero na chanzo cha matatizo makubwa ya nishati nchini. Kama walivyo Stalin, Mao, Castro, Muhongo alijitahidi kuweka sawa mfumo ambao wewe na wengine tungelazimika kuufuata. No wonder wajinga wakafanya party waliposikia kang'olewa. Wanaamini wataanza tena kuuza mafuta ya umeme 5000 kwa litre na gnerators zao.
Si kama unavyosema hapo juu.

Si bure umevuta mpunga wewe,kama unampenda sana mkaribishe nyumbani kwako akakusaidie,dharau zile kwa watanzania na kumkumbatia seth wala hakuna mtanzania aliyesikitika labda nyie wapigadebe wake.Next move ni kizimbani tu akafie mbali
 
Muhongo hajakosea sehemu yoyote katika hili sakati. Aliomba ushauri wa mwanasheria mkuu na wizara ya fedha. Akaambiwa fedha si za serikali. Siku zote amesimamia hapo hapo

Nawe unaamini si za serikali,kumbe tra wanakimbizana na waliopata ili iweje? Too late mwizi na aliyefanikisha wizi wote ni wahalifu tu,wakati anapitisha makaratasi ili swahiba yake atuibie alikagua uhalali wa kampuni anayoipigia debe???Faida ya kuitwa professor iko wapi???wacha akajifunze watanzania wa sasa sio wale wa NDIYO MZEE!!!!
 
Siasa za Tanzania zimegubikwa na ukiritimba unaosababishwa na kutanguliza maslahi.Wafanyabiasha wana maamuzi makubwa e.g sakata la bei ya mafuta.Ni ujuha wa Watz kuwa kimya kwa masuala ya msingi.Warioba na muswada ule wa katiba, ingelikuwa Hatua stahiki kwa kuanzia.Nchi haina mwongozo
 
Hakuna popote pale inaonesha kuwa zile pesa ni za umma ndiyo ukweli ulivyo muhongo aliziba mianya ya mafisadi ndiyo chanzo cha kuandamwa.

Bunge lmetoa maelezo mazur kaonekana ana makosa mh.Rais alimuweka kiporo,sasa uporo umeonekana umechacha lazma umwage upkwe wali mwngine,Eti mwanasheria alimpa ushaur,mh Rais alisema akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Back
Top Bottom